Mdahalo Star Tv: Nape, Jussa na Marando

Chadema haikuwa na mwakilishi sahihi kwenye mdahalo! Size ya Nape na Jussa ni Mnyika au Zitto,babu marando kashindwa hata kuelezea Itikadi ya Chadema
 
Unadhani miaka 50 ya experience ni mchezo, subirini mjifunze ku deal na migogoro ndani ya chama, unadhani la Arusha sterling mwisho ni nani? Muulizeni DR Slaa leo alikuja hapa kutaka kuleta uwongo wake watu wamemshushia fact katoka nduki huko kumsaidia Josephine kufunga diaper.
Wewe pamoja na mleta thread' hivi ndo mmeishiwa hivi? Mbona mnajadili watu badala ya hoja? Ama kweli hoja nyepesi zinajadili watu wakati hoja zenye nguvu zinajadili uwezo!
 
Thanks mkuu, nimekupa LIKE kubwa.

Kidogo nimepata picha ya nn kiliongelewa hiyo jana, wengine wote walikuwa wanamung'unya maneno, kama una muda mkuu hebu tujuze kwa undani topic unazokumbuka na jinsi walivyochangia japo summary ili hata ambao hatujupata fulsa ya kuutazama huo mdaharo tupate kitu.
 
Mwenyewe nilifikiri labda kuna bites walikuwa wakila wakati mdahalo ukiwa unaendelea kumbe sio
 
Nazisoma sifa kemkem za hawa mashujaa wenu lakini hadi sasa hivi sijaona lolote linalohusiana na kichwa cha Mada - ITIKADI ZA VYAMA VYA SIASA NA TANZANIA TUNAYOITAKA"..


Mkuu inawezekana hawa waalikwa walishindwa kuzungumzia itikadi za vyama vyao kutokana na aidha muendeshaji bi. Mwakitwange kuuliza maswali ya msingi juu ya itikadi za vyama ama alishindwa kusimamia mada kutokana na ushabiki wa waliohudhuria na ambao walipata nafasi na kuuliza maswali yasiyohusiana na itikadi.

Hii inawza kuwa ni dalili kwamba watanzania hawajui umuhimu wa itikadi,tunafanya siasa ilimuradi maisha yaende.
 
mlipiga kelele madiwani madiwani kwisha kazi, sasa shibuda, twawauliza lowasa, na chenge vipi?
Kinachonishangaza nape anasema huwa nanachukua uamuzi mgumu tangia zamani je hili la lowasa na chenge ni uamuzi gani?mbaya zaidi chenge anawajibu gamba lake halivuki kiuno mpaka mtu amvue je nape na ccm kwa ujumla hawaoni wameogopa kuwatimua kwa vile ccm itasambaratika?
 
mi ningeona ni vema nape atoe majibu yanayoendana na maswali anayoulizwa, na sio kujibu kiujanjajanja kuwapumbaza watanzania.
Mwenyewe mkuu sikuona jibu alilotoa linaendana na swali labda kidogo lile la utajiri wa tz ndo alilokosa mbwembwe kwani lingeibua maswali mengi na kuzidi kuididimiza ccm
 
Unadhani miaka 50 ya experience ni mchezo, subirini mjifunze ku deal na migogoro ndani ya chama, unadhani la Arusha sterling mwisho ni nani? Muulizeni DR Slaa leo alikuja hapa kutaka kuleta uwongo wake watu wamemshushia fact katoka nduki huko kumsaidia Josephine kufunga diaper.
tupe huo uongo na hizo fact au unakurupuka tu unajiandikia unachotaka kisichokua na ukweli ndani yake
 
Mkuu hapo umenigusa,ila kitu ambacho unabidi ujue ni kwamba mtaji wa siasa za Afrika ni ujinga wa wananchi wanaongozwa.

Angalia asilimia ngapi ya watanzania wanajua huyo mnyama anaitwa SOCIALISM, CAPITALISM AND LIBERALISM? Ni wachache sana tena ambao wamepata bahati ya kwenda Advance up tn Unv, na sio wote labda wana uchumi,historia,sociologia,sheria na political scientist.Then CCM uz ppoz problems to get legitimacy like other parties in Africa.

Nape ddnt prove to the community the political and economical system that this Nation-state is using to develop instead he portrayed what was the intetion of Socialism and Self reliance which he fail to tell the community when it started.
 
Mjaadala wa jana naona hata mwakitwange kashindwa kucontrol debate. Wauliza maswali wengi wameuliza maswali tofauti na mada husika
 
Nyie MAGWANDA HUU NDANI MSAIDIENI MARANDO KUJITETEA KWANINI AMEKUBALI KUWA WAKILI WA MAFISAIDI WA EPA???? We Nape wewe....mona umemwadhiri babu wa watu HUJUI HUYO NDIO HIRIZI YA CHADEMA????
Nyie magamba humu ndani jaribuni mkumsaidia nape kwanini magufulia anaamua bomoa waziri mkuu pamoja na jk wanamzuia wakat magufuli anatumia sheria na kwanini washindwe kuwatimua chenge na lowasa?

Na kwanini zamani ujamaa ilikua ni kupora ardi kwa mabepari na uwapa wananchi na sasa wanawapora wananchi na kuwapa mabepari? Je kwanini wanaoshinda majimbo mbalimbali kupitia ccm ni wafanyabiashara wakubwa wakubwa?
 
Moja, Hongera mama, seems una kipaji cha mipasho, hapo kwenye red panaweza kukupa ajira leo tena au kile kipindi cha mitaarabu cha tbc.

Pili, Mitazamo inaweza kutofautiana. Nape ni mzungumzaji mzuri. Lakini ili uelewe kama anaongea pumba au point ni lazima na wewe uwe unajua mambo, lazima ufahamu wako uwe sawa na wake katika hilo jambo au ufahamu wako uwe mkubwa zaidi katika hicho anachokizungumza, kama wewe mwenyewe kichwani ni mweupe umeumia, na hiki ndicho kilichomkumba nipe tano na kwa hili nitatoa mifano.

1. Nape anasema CCM inaamini na kutekeleza sera za ujamaa, Tofauti kubwa kati ya sera hizi tatu, yaani ubepari, ulibelari na ujamaa ni namna uchumi wa nchi unavoendeshwa, nani anamiliki uchumi. Sifa mbili kubwa za sera ya Ujamaa ni uchumi kumilikiwa na umma na kujikita katika kupunguza tafouti ya kipato kati ya mtu na mtu, Je hiki ndicho CCM wanachosimamia, Nipe tano unaelewa nachozungumza au nshakupeleka kina kirefu? sema tu mama niko tayari kukuelekeza taratibu, sitaki kumuacha mtu nyuma

NOTE: Hakuna Ujamaa wa kisayansi na ujamaa wa kiafrika, hapa msiojua ndio nape anapowapiga bao, mnashabikia tu.

2.Kwamba serikali yake inajitajidi kuwamilikisha wananchi ardhi, yeye akasema eti huku ndio kumilikisha wananchi uchumi, kuna matatizo mawili hapa, moja hii si kweli hata kidogo kwamba serikali inajitahidi kumilikisha wananchi uchumi, Unajua nini kinatokea katika MKURABITA na kinachotokea katika UBINAFSISHAJI na kuna kile kingine wanaCCM wanakipenda sana UWEKEZAJI? kila kimoja ni page nyingi kama nikiamua kuvieleza. Pili, hata kama hii ingekua kweli (Kwamba seikali inajitahidi kuwamilisha watanzania uchumi wao) bado tusingekua tunatekeleza itikadi za ujamaa kwa sababu tungekua tunauacha uchumi wetu mikononi mwa mtu mmoja mmoja, na katika hali hii nguvu ya soko ndio inaamua mambo (huu ni ubepari na sio ujamaa), unakumbuka mwezi wa pili JK alivochemka na kupanga bei ya sukari, leo (miezi sita tu badae) sukari inauzwa sh ngapi?, Unakumbuka kuhusu mafuta mwanzo mwa august leo wiki tatu tu badae mafuta yanauzwaje? nguvu ya soko inaamua mambo na sio order kutoka state house!

Sijaribu kusema ubepari ni mbaya la hasha ila ninapata mashaka kama nape anajua anachokiongea na kama wanaomshangilia wanajua wanachoshangilia.

Mwandhishi wa comment hii ni mchumi kuanzia 2006, anajua vizuri kuhusu UJAMAA, ULIBELARI na UBEPARI, kama tukidiscuss kila kimoja labda utachoka kusoma, ila kwa kifupi NAPE anachanganya sana mambo, kama anashindwa kunifikia anaweza kupata ushauri kwa JUSA bse yeye alionekana anaelewa vizuri tofauti ya hizo itikadi tatu

Ur right guy thanx. Acha huyo dada akaimbe mipasho na sio kuja kuchangia upupu kwenye mambo ya msingi yanayohusu mstakabali wa nchi. "Lkn magamba bwana kweli wana2mia masabur kuwaza"
 
Unadhani miaka 50 ya experience ni mchezo, subirini mjifunze ku deal na migogoro ndani ya chama, unadhani la Arusha sterling mwisho ni nani? Muulizeni DR Slaa leo alikuja hapa kutaka kuleta uwongo wake watu wamemshushia fact katoka nduki huko kumsaidia Josephine kufunga diaper.
mmepata uzoefu wa wizi, sio wa kuleta maendeleo yaliyokusudiwa!
 
Mdahalo ulikuwa mzuri japo maudhui yake hayajalengwa na CUF wala CCM. CDM ilijitahidi.

Marando alionewa kila mara kwa kupewa muda mfupi kuliko wenzake na mara kwa mara kusitishwa, hakuweza kujibu maswali yake kwa kadiri ilivyostahili na yeye alikuwa amejitayarisha kwa hilo kama alifahamu. Facilitator ajirekebishe kwa hilo japo alipanga. Ni vizuri kureview recodings ili muda muda waliotumia hawa watatu uwekwe bayana kuthibitisha hili. Marado pia hakupewa muda wa ku sum up kama wengine bali iliunganishwa na majibu aliyokuwa nanatoa tena akiambiwa ana dakika mbili kwa yote.

Nape hakujua analolizungumza na amekuwa mwongo kiasi kuwa kila msikilizaji wake alijua hasemi kweli kwa kila alicho kisema. Alionyesha udhaifu mkubwa kwa kushindwa kukitetea chama chake hasa na vijembe vya Jusa, hivyo hajavigusa kabisa. Alijibu vizuri suala la udini.

Jusa aliwakandia wote lakini aliikandia zaidi CCM. Hakueleza mengi ya chama chake zaidi ya kurudia rudia muafaka wa Zanzibar. Watazamaji na wasikilizaji wake walimpenda hasa kwa kusema waliyo taka kusikia juu ya CCM, kitu alichokifanya kwa ufasaha.

Marado aliweza kutumia muda wake mfupi kujibu hoja na kuelezea wapi wanataka kuipeleka Tanzania baadaye. Aliikandia vyama vingine kwa ustaarabu.

Washiriki wengi kwenye ukumbi walikuwa nutral bali wa CUF walijidhirihsa zaidi kwa kutetea chama chao na hasa kumpamba mwenyekiti wao hata pasipo ukweli, kuikandia CDM na hasa ukristu.

Mjadala ulikuwa mzuri na facilitator aliweza kuutawala japo kwa uonevu kidogo kwa Marando
 
Moja, Hongera mama, seems una kipaji cha mipasho, hapo kwenye red panaweza kukupa ajira leo tena au kile kipindi cha mitaarabu cha tbc.

Pili, Mitazamo inaweza kutofautiana. Nape ni mzungumzaji mzuri. Lakini ili uelewe kama anaongea pumba au point ni lazima na wewe uwe unajua mambo, lazima ufahamu wako uwe sawa na wake katika hilo jambo au ufahamu wako uwe mkubwa zaidi katika hicho anachokizungumza, kama wewe mwenyewe kichwani ni mweupe umeumia, na hiki ndicho kilichomkumba nipe tano na kwa hili nitatoa mifano.

1. Nape anasema CCM inaamini na kutekeleza sera za ujamaa, Tofauti kubwa kati ya sera hizi tatu, yaani ubepari, ulibelari na ujamaa ni namna uchumi wa nchi unavoendeshwa, nani anamiliki uchumi. Sifa mbili kubwa za sera ya Ujamaa ni uchumi kumilikiwa na umma na kujikita katika kupunguza tafouti ya kipato kati ya mtu na mtu, Je hiki ndicho CCM wanachosimamia, Nipe tano unaelewa nachozungumza au nshakupeleka kina kirefu? sema tu mama niko tayari kukuelekeza taratibu, sitaki kumuacha mtu nyuma

NOTE: Hakuna Ujamaa wa kisayansi na ujamaa wa kiafrika, hapa msiojua ndio nape anapowapiga bao, mnashabikia tu.

2.Kwamba serikali yake inajitajidi kuwamilikisha wananchi ardhi, yeye akasema eti huku ndio kumilikisha wananchi uchumi, kuna matatizo mawili hapa, moja hii si kweli hata kidogo kwamba serikali inajitahidi kumilikisha wananchi uchumi, Unajua nini kinatokea katika MKURABITA na kinachotokea katika UBINAFSISHAJI na kuna kile kingine wanaCCM wanakipenda sana UWEKEZAJI? kila kimoja ni page nyingi kama nikiamua kuvieleza. Pili, hata kama hii ingekua kweli (Kwamba seikali inajitahidi kuwamilisha watanzania uchumi wao) bado tusingekua tunatekeleza itikadi za ujamaa kwa sababu tungekua tunauacha uchumi wetu mikononi mwa mtu mmoja mmoja, na katika hali hii nguvu ya soko ndio inaamua mambo (huu ni ubepari na sio ujamaa), unakumbuka mwezi wa pili JK alivochemka na kupanga bei ya sukari, leo (miezi sita tu badae) sukari inauzwa sh ngapi?, Unakumbuka kuhusu mafuta mwanzo mwa august leo wiki tatu tu badae mafuta yanauzwaje? nguvu ya soko inaamua mambo na sio order kutoka state house!

Sijaribu kusema ubepari ni mbaya la hasha ila ninapata mashaka kama nape anajua anachokiongea na kama wanaomshangilia wanajua wanachoshangilia.

Mwandhishi wa comment hii ni mchumi kuanzia 2006, anajua vizuri kuhusu UJAMAA, ULIBELARI na UBEPARI, kama tukidiscuss kila kimoja labda utachoka kusoma, ila kwa kifupi NAPE anachanganya sana mambo, kama anashindwa kunifikia anaweza kupata ushauri kwa JUSA bse yeye alionekana anaelewa vizuri tofauti ya hizo itikadi tatu

Mkuu kweli na mimi umenifungua akili sikua najua yote hayo
 
Jussa alijitahidi kujibu hoja vizuri ila pia watu wa cuf walikuwa wanauliza maswali kidini sana na kuonesha cuf ni chama cha kidini kabisa!

Jussa hana usafi wa kukashfu either CCM au CHADEMA. Hana. Ni huyu huyu Jussa aliyekuwa anawafuata ccm kimya kimya akisuka namna ya kuungana baada ya kuona 'nguvu ya mapambano imeisha'. Kwa miaka huyu huyu bwana alizunguka dunia akikataza wahisani wasiisadie Zanzibar. Leo hii anaongea utafikiri kashuka toka sayari nyingine. Hivi hamjiulizi ilikuwaje mwaka jana (2010) miezi michache kabla ya uchaguzi Jussa aliteuliwa na Rais kuwa mbunge kwenye Bunge la Muungano? hiyo ilikuwa zawadi kwa 'kugeuka' nyuma.

Kuna kitu kingine Jussa kasema ambacho hakikaa sawa. Amesema CHADEMA wanaokota wanachama barabarani! Kwangu mimi naona ni madharau makubwa sana kwamba mtu aliyeko barabarani hana thamani? Jussa anaweza kueleza kwa nini watu wanakaa barabarani? Yeye na huyo Bwana wake (ccm) wamewapa kazi? Na kama CHADEMA wameokota barabarani wanachama wa CUF wametoka wapi? uarabuni?

Nasubiri siku Jussa atakapoulizwa swali la muungano niona kama kageuka jiwe tena! Nasubiri.
 
NOTE: Hakuna Ujamaa wa kisayansi na ujamaa wa kiafrika, hapa msiojua ndio nape anapowapiga bao, mnashabikia tu.

Mwehu wewe, kama hujui kitu ni bora uombe usaidiwe, kwa adhabu yako naweka maandiko ya Nyerere hapa kwa lugha ya kikoloni ili jue tofauti ya ujamaa wa wazungu na ujamaa wa kiafrika.

''These two revolutions planted the seeds of conflict within society, and not only was European socialism born of that conflict, but its apostles sanctified the conflict itself into a philosophy. Civil war was no longer looked upon as something evil, or something unfortunate, but as something good and necessary.

As prayer is to Christianity or to Islam, so civil war (which they call "class war") is to the European version of socialism--a means inseparable from the end. Each becomes the basis of a whole way of life. The European socialist cannot think of his socialism without its father--capitalism!

Brought up in tribal socialism, I must say, I find this contradiction quite intolerable. it give capitalism a philosophical status which capitalism neither claims nor deserves. For it virtually says "Without capitalism, and the conflict which capitalism creates within society, there can be no socialism!" This glorification of capitalism by the doctrinaire European socialists, I repeat, I find intolerable.

African socialism, on the to her hand, did not have the "benefit" of the Agrarian Revolution or the Industrial Revolution. it did not start from the existence of conflicting "classes" in society. Indeed I doubt if the equivalent for the word "class" exists in any indigenous African language; for language describes the ideas of those who speak it, and the idea of "class" or "caste" was nonexistent in African society.

The foundation, and the objective, of African socialism is the extended family. The true African socialist does not look on one class of men as his brethren and another as his natural enemies. He does not form an alliance with the "brethren" for the extermination of the "non-brethren." He rather regards all men as his brethren--as members of his ever extending family. that is why the first article of TANU's creed is "Binadamu wote ni ndugu zangu, na Afrika ni moja." If this had been originally put in English, it could have been "I believe in Human Brotherhood and the Unity of Africa." "Ujamaa," then, or "familyhood," describes our socialism.

It is opposed to capitalism, which seeks to build a happy society on the basis of the exploitation of man by man; and it is equally opposed to doctrinaire socialism which seeks to build its happy society on a philosophy of inevitable conflict between man and man.

Kutoka Ujamaa: The Basis of African Socialism na Julius Nyerere.
 
Viva CHADEMA kwakupeleka Jembe la ukweli ! Nape kama kawaida yake kuchemsha na kuchemka ktk mada za Ujenzi wa taifa.
 
Nadhani wewe ndio mjinga zaidi, kama huwa unaziruka post zangu leo imekuaje umeisoma.
Nikiangalia ID yako wewe ni mchangga vili vile ni katika wale Mateka wa Mbowe.
Tatizo Pro-CDM-JF, wengi ni pumba hawataki watu waikosoe CDM, nakushari usisome posts zangu utakuwa unaumia endelea kuziruka sawa Mangi, Aikambeee

Wewe kama sio Makamba mzee basi utakuwa ni mkimbizi wa Rwanda.
 
Back
Top Bottom