SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Kwa Jussa, hata Dr Slaa asingemuweza kwani Jussa ana uzoefu mkubwa sana na mtu makini sana kuliko Dr Slaa. Lakini cha Ziada mwenzake amesomea sheria tofauti na Dr Slaa ambaye amesomea sheria za kanisa katoliki.
Hivi wewe mmanga mbona unachuki na Ukristo kiasi hicho? Rudi kwenu ambako hakuna hakuna Ukristo.