Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,498
Mimi huwa nakereka hata ninapowaona kina rostitamu na wahindi wengineo wakiwa wabunge....potelea mbali niite mbaguzi ama la lakini kama uliwahi kwenda India au huko uarabuni ama kwa kupitia vyombo vya habari ukaona treatment ya mtu mweusi kutoka Afrika wala usingeshangaa..