Je, unafikiri sasa hivi akivunja baraza la mawaziri au kufanyia kufanyia mabadiliko makubwa atajionesha kuwa ni kiongozi makini?
akivunja atakuwa amekubali kuwa ni dhaifu asipovunja atauonesha udhaifu wake kuwa ni dhahiri.acha alivunje, asipolivunja maana yake anafurahishwa na uozo unaendelea, na ndio itakuwa anaizika ccm:bathbaby:
Kumekuwepo na tetesiza uwezekano wa kuvunjwa kwa baraza ka mawaziri wakati wowote kuanzia sasa. Na wapo watu ambao wametoa wito kwa rais kufanya hivyo. Je hoja ya mdahalo huu ni ya kweli au siyo kweli na kwa nini?
Aweza kuvunja baraza bila ya yeye akabakia mbora?
binafsi sidhani kama wabunge/mawaziri wengi wanatetea maslahi ya umma per se. Wabunge wengi wa ccm pamoja na baadhi ya mawaziri ambao we perceive them kama wachapa kazi na wenye msimamo wanafanya hivyo ili kujijenga kisiasa kikanda au kitaifa; kwa wengi pia ni njia ya kujikinga na dhoruba la chadema huko majimboni mwao as we head towards 2015. Sitashangaa kuona wabunge wengi wa sasa ccm kuhamia chadema katika kipindi cha mwisho mwisho kuelekea 2015. Hivyo mkuu kimbunga, sina ushahido tosha wa kuwaamini mwanri na magufuli kwa asilimia 100, wote hao nawaweka katika makundi hayo juu.