Mdada katendwa kabakia haamini kama ni yeye ...

Kuna jamaa yangu alienda JAMAICA na akashangaa kuwa wale jamaa ni Waswahili haswa. Akakuta kuna wengine hadi wanamfahamu Marehemu Kanumba na wapenzi sana wa film na miziki ya Kiafrica (Film Za Nigeria).

Kwa maana hiyo, kama Taarabu na wao wanalijua haswa na kila aina ya upuuzi tunaofanya.

Ndiyo maana unaona hata wimbo wa Taarabu ila kwa Kiingereza. Ila wanayosema ni kweli kabisa.
Sikonge yaani huu wimbo kama taarabu kabisa sema uko kwa lugha ya Kingereza
Unamfaa sana Isha Mashauzi
 
eti wanalinda baba asiondoke ....while wao wakimpa vya mashariki wenzao walishamaliza magharibi wapo kusini siku miiingi...upuuuzi mtupu

Smile my dear.... nimependa sana michango yako humu, you are one of a kind!!!
 
Huyu mdada ni jirani yangu..

Alikuwa na ka mtindo fulani kila siku anamsifia husband wake ooh ndoa yangu ni imara na ni kama paradise ndogo
Mme wangu hawezi kurudi saa mbili usiku kama waume zenu wanavyofanya nashangaa mie.!

Haya mengine nayaacha. Kama kuna mwanamke hapa anayependa mumewe arudi hom saa kumi na moja kila siku, anyoshe mkono...
 
Huyu mdada ni jirani yangu..

Alikuwa na ka mtindo fulani kila siku anamsifia husband wake ooh ndoa yangu ni imara na ni kama paradise ndogo
Mme wangu hawezi kurudi saa mbili usiku kama waume zenu wanavyofanya nashangaa mie.!
Akitoka kazini moja kwa moja home
Nawahurumia nyie waume zenu kurudi home saa tano..sita ,akiwahi sana saa nne mnawezaje haya maisha ..?
Sifa nyingi zilimiminika kwa huyu dear husband
..Mama mmoja wa makamo alikuwa mara nyingi akimwambia temea mate chini mdogo wangu,
Haya mambo omba mungu aendelee kumtunza mmeo
LOL sasa limezuka la kuzuka
Ghafla mme kaanza kurudi saa mbili eti ooh nilikuwa na washikaji
Ikaenda saa sita kulikuwa na vikao vya dharula kazini nisamehe my wife
Ikafikia sasa anarudi asubuhi ooh nilikuwa night shift siku hizi nimekuwa potential sana kazini wife
Ghafla picha ya mrembo mmoja kwenye screen ya simu..oops
Simu inakumbatiwa wakati zamani ilikuwa inakaa popote pale
Mara trip za hapa na pale zikaendelea

Vunja kazi mzee kamtakia wife Mie bila kumuoa huyo dada wa kwenye screen ya simu nitajiua ..makubwa ……
***Based on true story ****
Jamani tuendelee kuwaweka kwenue maombi wenza wetu
Tuziombeee ndoa na familia zetu
Amani itawale daima

FirstLady1 hapo kwenye nyekundu nifungue macho umeniacha kwenye stima.........lol
 
Last edited by a moderator:
tutawatupia viroba vyao na ukiangalia hakuna zoba tena loloest wameishiwa hawana mashiko tena.
There are some people that don't deserve your love, they don't deserve your affection, they don't deserve your time, they don't respect you, they're not loyal to you, they don't have your best interest at heart. Stop giving them what they w...ant, stop allowing yourself to be a doormat. You're the only one making love, he is just taking. Stop deceiving yourself, this does not get better. When a man loses respect for you, it's over...
 
he ilo nalo neno ,yaan unajipakazia kwa mashosti kuwa una bwana mtiifu kumbe ana washa moto wa kifuu ata ukiuona moto kimesha maliza ,balaa duniani ,
 
Back
Top Bottom