Ec mwakisopile
Member
- Mar 27, 2011
- 53
- 7
nilivyo elewa ana maanisha expensive. kama mwizi akiuza atapata pesa yakutosha, ukitaka kuhakikisha nenda duka la silaa
Kauli ya kubabaisha hasa ni pale aliposema
"mda wowote naweza kupigiwa simu na kuambiwa nikamuwakilishe Mh Ngeleja nje ya nchi that why natembea na vijisenti kidogo vya emergency pamoja na jguo"
nilivyo elewa ana maanisha expensive. kama mwizi akiuza atapata pesa yakutosha, ukitaka kuhakikisha nenda duka la silaa
Kauli ya kubabaisha hasa ni pale aliposema
"mda wowote naweza kupigiwa simu na kuambiwa nikamuwakilishe Mh Ngeleja nje ya nchi that why natembea na vijisenti kidogo vya emergency pamoja na nguo"
Wakati akifafanua ule mkasa uliompata,mh Naibu waziri Malima aliropoka kauli ya kutisha ambayo haiwezi kupita hivihivi bila kupingwa.Akishangaa kwanini mwizi wake hakuiba silaha alisema na ninamnukuu kwa herufi kubwa,,,alisema" ZILE SILAHA NI MTAJI TOSHA KWA MAISHA".Tafsri yake ni kwamba waziri ama anahalalisha matumizi ya silaha(ujambazi)kujipatia mtaji ama anashawishi watu tutafute bunduki maana ni mtaji wa maisha ama yeye mwenyewe anatumia bunduki kama mtaji wa maisha.Na kama hizo ndio fikra zake basi hii nchi haina viongozi.
nilivyo elewa ana maanisha expensive. kama mwizi akiuza atapata pesa yakutosha, ukitaka kuhakikisha nenda duka la silaa
Kauli ya kubabaisha hasa ni pale aliposema
"mda wowote naweza kupigiwa simu na kuambiwa nikamuwakilishe Mh Ngeleja nje ya nchi that why natembea na vijisenti kidogo vya emergency pamoja na nguo"
I tend to agree with your line of thinking with an exception that instead of associating Mtikila's popularity with his particular action see the need for us citizen to do something to shame this shameless deputy MinisterMtikila is a kind of an ambulance chaser and it is not surprising seeing him chasing after this one. It is same Mtikila who scorned Chadema's approach to writing of the new Constitution yet some of Magwand.a members will here heap praise on him for his decision to open a case against CCM's Malima. Knowing that his popularity is already down the toilet, the third-rate politician is attempting but unsuccessfully to be back in the newspapers.
Kuna taarifa zimezagaa kuwa mwanaharakati wetu mzee Mtikila baada ya kukaa kimya mda mrefu amesema ataungana na wanaharakati wengine kumfungulia kesi ya uzembe na kuchezea mali za serikari mh. Adamu Malima.
Anasema ktk dai lake la msingi Mtikila amesema kuwa
1. Ni ubadhilifu wa mali ya umma kwa kiongozi kama yule kutembea na mali zote zile hlf adai ameibiwa
2. Hakubaliani hata kidogo na maelezo ya mh. N/W kuwa aliacha vitu vyote chumbani yeye akaenda sebuleni kuangalia TV. Iweje jasho la mtz litumike kulipia chumba cha laki 4 ambacho hakina hata TV?
3. Anaudanganya umma, anapoteza muda wa viongozi wengi kufuatilia suala lake wakitumia hela ya serikali.
My note: TUMPE USHIRIKIANO.
I appreciate the command of English and Kiswahili that RADHIA SWEETY has shown. Let her be...language is just a vehicle which carries the massage don't make it a subject. By the way can you use appropriately "tashbia, tashtiti na tashhisi? Wengine tuko fiti hata kwenye fonimu, mofimu n.kwabongo bwana shule yenyewe umesomea kayumba! Lakini vingereza viingi!!!!,
lakini sikushangai bado unasumbuliwa na ukoloni mambolea. Ukikuwa utaacha.
Vp hiyo umeipenda? Ntarudi badae, mkutano wa chadema ukiisha.