IPECACUANHA
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 3,216
- 1,906
The level of arrogance that this young men is portraying through his words, way he speaks and his body language qualify him for psychological treatment. I wonder what it takes to put up with him like a son,brother,husband,coligue etc..on top of that he is a religious fanatic. Anyway that weakness of his has landed him high up in politics of this country. Deputy minister of a sensitive ministry.Shame.Katika taarifa ya kuibiwa, kuna silaha 2 pia ziliibwa na mojawapo ilikuwa ni SMG. Sasa nashindwa kuelewa ni vipi N/W atembee na SMG wakati alikuwa na silaha nyingine?
Halafu ana-sound arrogant maana katika utetezi wake anadai kuwa aliomba chumba ambachu huwa anafikia. Alijibiwa kuwa kile chumba kilikiuwa kimechukuliwa tayari. Yeye akaagiza huyo mtu atolewe ili yeye aingie. Yaani
:hand:that's PURE ARROGANCE. Mtu atoe hela yake halafu ahamishwe chumba? Mmmh kweli mawaziri wetu wana dharau sana.