Kasome historia ya wadigo kuitwa wavivu , wadigo walipinga hayo mazao kabisa na mengine ... Wakoloni wakaenda kuanzisha uchagani na kwa wahaya.
..hilo ni suala la Wadigo na mazingira yao.
..wako Wapare walitaka kulima kahawa mkoloni akawakatalia.
Kasome historia ya wadigo kuitwa wavivu , wadigo walipinga hayo mazao kabisa na mengine ... Wakoloni wakaenda kuanzisha uchagani na kwa wahaya.
Hapakuwa na strong resistance huko ,huo ndio ukweli hata umaarufu labda kwa kutengeneza pombe za kienyeji.....hilo ni suala la Wadigo na mazingira yao.
..wako Wapare walitaka kulima kahawa mkoloni akawakatalia.
huyu amechanganyikiwaMchungaji Lusekelo aka Mzee wa Upako amesema Wachagga ni Watu wanaostahili kuheshimiwa kwenye Siasa za Tanzania kwani wamepata Maendeleo kitambo sana
Mchungaji Lusekelo amesema Kilimanjaro ndio Israel ya Africa, walikuwa ni Taifa na walipewa uhuru na Ujerumani na kupandisha Bendera yao kabla Tanganyika haijapata Uhuru
Ashukuriwe Mwalimu Nyerere kwa kuwaunganisha Wachagga na Tanganyika na kuwa Taifa Moja kwani Wachagga ni Chachu ya Maendeleo, amesisitiza Mchungaji Lusekelo
Source: Mzee wa Upako TV
Mlale Unono 😀😀
Hapakuwa na strong resistance huko ,huo ndio ukweli hata umaarufu labda kwa kutengeneza pombe za kienyeji...
Pombe ingekuwa zambi ,kanisa katolic lisingekuwa na grocery zapombe ndani ya mipaka yao majengoAmesema kunywa Pombe siyo Dhambi ila Pombe ni Mlango wa Dhambi/Shetani
Mchungaji Lusekelo aka Mzee wa Upako amesema Wachagga ni Watu wanaostahili kuheshimiwa kwenye Siasa za Tanzania kwani wamepata Maendeleo kitambo sana
Mchungaji Lusekelo amesema Kilimanjaro ndio Israel ya Africa, walikuwa ni Taifa na walipewa uhuru na Ujerumani na kupandisha Bendera yao kabla Tanganyika haijapata Uhuru
Ashukuriwe Mwalimu Nyerere kwa kuwaunganisha Wachagga na Tanganyika na kuwa Taifa Moja kwani Wachagga ni Chachu ya Maendeleo, amesisitiza Mchungaji Lusekelo
Source: Mzee wa Upako TV
Mlale Unono 😀😀
Shujaa Magufuli
Huo ndio ukweli😂😂..umepungukiwa taarifa sahihi.