asante. Ngoja nikaze buti.umesema anakupenda...sidhani kama kuna tatizo hapo mkuu...ungeniambia hajaseto hapo ingekuwa ishu.halafu jua kwamba uzuri wa kitu upo machoni mwa mtazamaji...
duh! Nimewaelewa waungwana. Ni kweli uzuri ni machoni pa mtu lakini kuna glowing beauty. Anyway I just wanted to share with great thinkers, kwa yeyote aliye au anaye experience kama navyojisikia nitashukuru kunipa supportive advice.
Kuhusu show off au mr. Handsome, hakuna umuhimu wa mimi kushow off tena kwa post. Nimeshare na watu ninaowaamini.
Rose1980 umeua sana
Isije ikawa ni yule Mr Handsome kana na story nyingine humu
Duh umeua
asante. Ngoja nikaze buti.
WanaJF hii kitu inaniumiza kidogo kidogo ingawa navumilia. Mpenzi wangu ambaye nimekaa nae miaka mitatu ni mzuri mno kwa sura mpaka naogopa. Ana kama mvuto fulani na kama kawaida wanaume kutongoza lazima.
Nimejitahidi kujifanya sina wivu lakini wapi. Tutaoana soon Mungu akijaalia na ananipenda sana.
Waungwana nisaidieni, naumia kimoyo moyo.
WanaJF hii kitu inaniumiza kidogo kidogo ingawa navumilia. Mpenzi wangu ambaye nimekaa nae miaka mitatu ni mzuri mno kwa sura mpaka naogopa. Ana kama mvuto fulani na kama kawaida wanaume kutongoza lazima.
Nimejitahidi kujifanya sina wivu lakini wapi. Tutaoana soon Mungu akijaalia na ananipenda sana.
Waungwana nisaidieni, naumia kimoyo moyo.
WanaJF hii kitu inaniumiza kidogo kidogo ingawa navumilia. Mpenzi wangu ambaye nimekaa nae miaka mitatu ni mzuri mno kwa sura mpaka naogopa. Ana kama mvuto fulani na kama kawaida wanaume kutongoza lazima.
Nimejitahidi kujifanya sina wivu lakini wapi. Tutaoana soon Mungu akijaalia na ananipenda sana.
Waungwana nisaidieni, naumia kimoyo moyo.
uniletee pipi..Naomba nirudi baadae kuchangia hapa
jaman jaman jaman sasa katika hili usaidiwe nini?
wakusaidieK ukukodishia komesha security wamlinde?
wakusaidie kwa kukuambia achana nae?
AU KAKA UMELETA TAARIFA TU TUJUE MCHUMBA AKO NI MZURI..UONEKANE UMEOPOA NAWEWE?
CZ SJAONA SHDA YEYOTE KATKA ILO
wengne ohh mimi handsma demu wako anaogopa braaaabra ....
wengne ohh demu wangu mzuri sana......ana mvuto....ivi nan ana demu asiyekuwa na mvuto/mzuri?
unachokiona kwako kizuri/kinavutia ..si lazima kiwe ivo kwa wote..
..labda.wenzako wanaulizana ahh uyu nae kafata nini kwa uyu demu..mbona mbaya ivi?mvuto nehii...
ANYWAYS HONGERA KWA KUOPOA ..KITU CHENYE MVUTO KM SUNSHINE....
duh! Nimewaelewa waungwana. Ni kweli uzuri ni machoni pa mtu lakini kuna glowing beauty. Anyway I just wanted to share with great thinkers, kwa yeyote aliye au anaye experience kama navyojisikia nitashukuru kunipa supportive advice.
Kuhusu show off au mr. Handsome, hakuna umuhimu wa mimi kushow off tena kwa post. Nimeshare na watu ninaowaamini.
Tigga Mumba unaposema mpenzi wako ni mzuri unamlinganisha na nani ? inawezekana kabisa mimi nikamwona mbaya,kuna dada wanamwita Fideline ye anadai ni mwana mitindo mi namwona mbaya sana lakini kuna watu mjini wanakwambia hamna mzuri kama yeye,nadhani hapo umenielewa.