Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

ebwaneeh,,,,...ningekua mimi siku hiyo hiyo namwacha,mana ina uma kiukweli..lakini kwa kua umemsamehe kuwa mgumu kama star wa live free or die hard 4(Bruce wills)...ila una moyo
 
angekuwa mke kwa confession kuwa amemegwa ni warrant ya kwao sembuse huyo mchumba tu. hutakuwa na amani kabisa ukiingia naye katika ndoa na kuacha itakuwa vigumu kwa hiyo tupa mziko machakani songa mble kiume. wakati mwingine katika maisha lazima tujikusuru vitu tuvipendavyo kwa ajili ya afya za mioyo yetu. just do away with that ..hore
 
nakuomba na kukushauri huyo siyo mwanamke hata kama sio leo utakuja ujute katika maisha yako ya mbele achananye huyo
 
Achana nae kaka, najua utaumia sana lakini utatulia tu. Hapa najaribu kukuepushia maumivu endelevu... Hujui hao waliokuwa wanammega walimfanyia nn mpaka asiwasahau!!! C unajua hawa bweha wanavyojitumaga kwa vyakuiba....
 
Nilisamehe kwa moyo wote, na tofauti na mwanzo nikajipa muda mwingi wa kukaa nae na kumshauri jinsi ulimwengu ulivyo na namna ya kuvishinda vishawishi, it seemed to have worked! A lot passed, uphills and down the valleys then we were blessed with a child mwaka jana na tukaanza maandalizi ya ndoa, literally ilibidi iwe October mwaka huu, lakini kilichotokea najuuuuta kumfahamu! all along she was playing at the background the very same old game. Na from nowhere akanipiga kibuti cha fukuza mwizi bila kosa lolote na bila kujali kuwa mimi ni baba wa mtoto wake and the little empire that we have created! it broke me to dust aisee, only knowing later kuwa she is pregnant with a man she was cheating with na njia pekee ilikuwa ni kutoka nduki, Maumivu niliyonayo can only be experienced not expressed, Inauma sana aisee, Inauma kuliko ilivyotokea mwanzo. I am done with Believing in Love. I AM DONE! THE GAME IS OVER.
 
..kaka chapa lapa faster matezo ya moyo ya nini, life expectancy ya m-tz male ni 40 years chukua maamuzi magumu
 
Sijui hata nianzie wapi..... Ni takribani mwaka wa pili sasa nipo nae, na ni mwezi wa pili mwaka huu nilimtambulisha kwa wazazi wangu na ndugu kadhaa kuwa huyu ni "mchumba wangu mpendwa niliyependezwa nae".

Baada ya hapo maisha yakatuweka mbali takribani miezi mitano, lakini tulikuwa tukiwasiliana mara kwa mara... Chako ni chako tu, nilianza kuhisi mabadiliko kwenye mawaasiliano yetu na hiyo iliniumiza kichwa sana, Mungu si athumani siku isiyokuwa na jina nikapata kalikizo, nikaamua ku pay a suprise visit huko kwao...mengi yakatokea lakini la muhimu niligundua kuwa mwenzangu alianzisha mahusiano yasiyo rasmi kama mawili, akakiri kuwa ni kweli amemegwa na hao washkaji kwa muda tofauti...

Iliniuma sana zaidi aliponiambia kuwa mmoja kati ya hao jamaa alikuwa anafahamu kuwa yeye ni mchumba wa mtu na wakala njama kuwa mimi nisijue, kumbe hata nilivyokuwa napiga simu au kutuma msg alikuwa na jamaa yake tena anaipumulia...

Amejuta sana na anadai haelewi kwa nini ali kwenda astray, nimepima moyo wangu nimeamua kumsamehe kwani bado nampenda lakini nashidwa kuishi na fact kwamba jamaa kadhaa baada yangu wamepita... Na nikifikilia zile promises alizokuwa ananipa kuwa ananipenda na kamwe hawezi kuni hurt, zinanifanya nimuone Muongo kwa kila kitu....

Nisaidieni wajameni...

Binafsi sijakuelewa unachohitaji...! Umekwishapata uamuzi wa kumsamehe, na ukamsamehe...! Sasa tukushaurije tena? Tafadhali nisaidie...!
 
mkuu pole sana, omba mungu atakupa mwongozo ni nn cha kufanya.
Mkuu naomba ufafanuzi, hao watu 2 walimega maramoja moja?
au walijipigia mi-mechi kibaoooooooooooooooooo?
coz anaweza kuwa mtu mmja, ila kilasiku analisukuma gozi
 
Nilisamehe kwa moyo wote, na tofauti na mwanzo nikajipa muda mwingi wa kukaa nae na kumshauri jinsi ulimwengu ulivyo na namna ya kuvishinda vishawishi, it seemed to have worked! A lot passed, uphills and down the valleys then we were blessed with a child mwaka jana na tukaanza maandalizi ya ndoa, literally ilibidi iwe October mwaka huu, lakini kilichotokea najuuuuta kumfahamu! all along she was playing at the background the very same old game. Na from nowhere akanipiga kibuti cha fukuza mwizi bila kosa lolote na bila kujali kuwa mimi ni baba wa mtoto wake and the little empire that we have created! it broke me to dust aisee, only knowing later kuwa she is pregnant with a man she was cheating with na njia pekee ilikuwa ni kutoka nduki, Maumivu niliyonayo can only be experienced not expressed, Inauma sana aisee, Inauma kuliko ilivyotokea mwanzo. I am done with Believing in Love. I AM DONE! THE GAME IS OVER.

aisee! Pole sana ndugu!
 
Pole, ckuiz abiria chunga mzigo wako, kosa 1 cross 10, wanasema wakikutana leo wanamalizana leoleo.. Hakuna kugandana gandana
 
Vunga vunga,ukiona karibu linakupasukia kaa pembeni uwe mtazamaji kaka wanao kupenda wengi kuliko kwanini ujipe homa ya moyo kwa mtu ambaye hakupi furaha unayo stahili kwenye ndoa
 
We ata ukimkuta na wanaume kumi wanamla tigo utamsamehe tu.

Hivi mbona moyo wako mgumu kama vyuma vya reli?

Nimekumbuka kitu,huyo ni mwanamke pekee yake duniani.
 
Sijui hata nianzie wapi..... Ni takribani mwaka wa pili sasa nipo nae, na ni mwezi wa pili mwaka huu nilimtambulisha kwa wazazi wangu na ndugu kadhaa kuwa huyu ni "mchumba wangu mpendwa niliyependezwa nae".

Baada ya hapo maisha yakatuweka mbali takribani miezi mitano, lakini tulikuwa tukiwasiliana mara kwa mara... Chako ni chako tu, nilianza kuhisi mabadiliko kwenye mawaasiliano yetu na hiyo iliniumiza kichwa sana, Mungu si athumani siku isiyokuwa na jina nikapata kalikizo, nikaamua ku pay a suprise visit huko kwao...mengi yakatokea lakini la muhimu niligundua kuwa mwenzangu alianzisha mahusiano yasiyo rasmi kama mawili, akakiri kuwa ni kweli amemegwa na hao washkaji kwa muda tofauti...

Iliniuma sana zaidi aliponiambia kuwa mmoja kati ya hao jamaa alikuwa anafahamu kuwa yeye ni mchumba wa mtu na wakala njama kuwa mimi nisijue, kumbe hata nilivyokuwa napiga simu au kutuma msg alikuwa na jamaa yake tena anaipumulia...

Amejuta sana na anadai haelewi kwa nini ali kwenda astray, nimepima moyo wangu nimeamua kumsamehe kwani bado nampenda lakini nashidwa kuishi na fact kwamba jamaa kadhaa baada yangu wamepita... Na nikifikilia zile promises alizokuwa ananipa kuwa ananipenda na kamwe hawezi kuni hurt, zinanifanya nimuone Muongo kwa kila kitu....

Nisaidieni wajameni...

UPDATE ON THE 27th of June, 2012:


dah kaka mkubwa pole sana, hope utarecover soon, maana maumivu yake unajua mwenyewe
 
nakuonea sna huruma sijui umerogwa au umepewa limbwata? kama kakiri mwenyewe upumbumbavu alioufanya ww unataka nn yena kaaingiziwa mipiriti miwili da aibu iliyoje? achana naye hana maana!
 
Back
Top Bottom