BlackBerry
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,839
- 956
Mkuu kama umeamua kusamehe samehe mazima, huwezi kuingia ndoani bila trust ni kazi bure, utakuwa unajiumiza mwenyewe
Si imeandikwa kuwa... samehe si mara saba tu, bali saba mara sabini! Basi msamehe nawe akusamehe...!
<br />Sijui hata nianzie wapi..... Ni takribani mwaka wa pili sasa nipo nae, na ni mwezi wa pili mwaka huu nilimtambulisha kwa wazazi wangu na ndugu kadhaa kuwa huyu ni "mchumba wangu mpendwa niliyependezwa nae". <br />
<br />
Baada ya hapo maisha yakatuweka mbali takribani miezi mitano, lakini tulikuwa tukiwasiliana mara kwa mara... Chako ni chako tu, nilianza kuhisi mabadiliko kwenye mawaasiliano yetu na hiyo iliniumiza kichwa sana, Mungu si athumani siku isiyokuwa na jina nikapata kalikizo, nikaamua ku pay a suprise visit huko kwao...mengi yakatokea lakini la muhimu niligundua kuwa mwenzangu alianzisha mahusiano yasiyo rasmi kama mawili, akakiri kuwa ni kweli amemegwa na hao washkaji kwa muda tofauti... <br />
<br />
Iliniuma sana zaidi aliponiambia kuwa mmoja kati ya hao jamaa alikuwa anafahamu kuwa yeye ni mchumba wa mtu na wakala njama kuwa mimi nisijue, kumbe hata nilivyokuwa napiga simu au kutuma msg alikuwa na jamaa yake tena anaipumulia... <br />
<br />
Amejuta sana na anadai haelewi kwa nini ali kwenda astray, nimepima moyo wangu nimeamua kumsamehe kwani bado nampenda lakini nashidwa kuishi na fact kwamba jamaa kadhaa baada yangu wamepita... Na nikifikilia zile promises alizokuwa ananipa kuwa ananipenda na kamwe hawezi kuni hurt, zinanifanya nimuone Muongo kwa kila kitu.... <br />
<br />
Nisaidieni wajameni...
Piga chini, kwa mwendo huo atakuja kukuletea mtoto mwarabu then aconfess. Hovyo sana huyo dame!
binadamu sote tunakosea. Pamoja na kujitahidi kuushinda udhaifu kwa binadamu upo tu. Samehe tu ndugu yangu, mpe nafasi nyingine. Kwa kuwa bado unampenda, usiujeruhi moyo wako mwenyewe kwa kumwacha. Alichofanya ni kweli kinauma lkn samehe x 70.
<br />pole sana mkuu...hawa wanawake siku hizi ni aibu sana wanaleta mi nimeamua kuwa mgumu asilia
<br />Utasahau tu.ucmwache.