Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

Mkuu kama umeamua kusamehe samehe mazima, huwezi kuingia ndoani bila trust ni kazi bure, utakuwa unajiumiza mwenyewe
 
Si imeandikwa kuwa... samehe si mara saba tu, bali saba mara sabini! Basi msamehe nawe akusamehe...!

Lakin kumbuka hata bible inasema,usimwache mwenzako kwa namna yeyote ile isipokuwa uzinzi!just check an altenatives,they are plenty
 
Piga chini, kwa mwendo huo atakuja kukuletea mtoto mwarabu then aconfess. Hovyo sana huyo dame!
 
pole sana mkuu...hawa wanawake siku hizi ni aibu sana wanaleta mi nimeamua kuwa mgumu asilia
 
binadamu sote tunakosea. Pamoja na kujitahidi kuushinda udhaifu kwa binadamu upo tu. Samehe tu ndugu yangu, mpe nafasi nyingine. Kwa kuwa bado unampenda, usiujeruhi moyo wako mwenyewe kwa kumwacha. Alichofanya ni kweli kinauma lkn samehe x 70.
 
Sijui hata nianzie wapi..... Ni takribani mwaka wa pili sasa nipo nae, na ni mwezi wa pili mwaka huu nilimtambulisha kwa wazazi wangu na ndugu kadhaa kuwa huyu ni &quot;mchumba wangu mpendwa niliyependezwa nae&quot;. <br />
<br />
Baada ya hapo maisha yakatuweka mbali takribani miezi mitano, lakini tulikuwa tukiwasiliana mara kwa mara... Chako ni chako tu, nilianza kuhisi mabadiliko kwenye mawaasiliano yetu na hiyo iliniumiza kichwa sana, Mungu si athumani siku isiyokuwa na jina nikapata kalikizo, nikaamua ku pay a suprise visit huko kwao...mengi yakatokea lakini la muhimu niligundua kuwa mwenzangu alianzisha mahusiano yasiyo rasmi kama mawili, akakiri kuwa ni kweli amemegwa na hao washkaji kwa muda tofauti... <br />
<br />
Iliniuma sana zaidi aliponiambia kuwa mmoja kati ya hao jamaa alikuwa anafahamu kuwa yeye ni mchumba wa mtu na wakala njama kuwa mimi nisijue, kumbe hata nilivyokuwa napiga simu au kutuma msg alikuwa na jamaa yake tena anaipumulia... <br />
<br />
Amejuta sana na anadai haelewi kwa nini ali kwenda astray, nimepima moyo wangu nimeamua kumsamehe kwani bado nampenda lakini nashidwa kuishi na fact kwamba jamaa kadhaa baada yangu wamepita... Na nikifikilia zile promises alizokuwa ananipa kuwa ananipenda na kamwe hawezi kuni hurt, zinanifanya nimuone Muongo kwa kila kitu.... <br />
<br />
Nisaidieni wajameni...
<br />
<br />
Najua unampenda sana, ila atakuletea magonjwa. Ukijua kupenda ujifunze pia na kuacha. MUACHE SI MWAMINIFU, ANATAMAA. Kama hauamini baki naye, ija ATAKUUMIZA TENA. Pole ndugu.
 
Piga chini, kwa mwendo huo atakuja kukuletea mtoto mwarabu then aconfess. Hovyo sana huyo dame!

well said mkuu.
Yani hapo kama ni mm ni kuchapa lapa tu.
Labda kama jamaa nae ni mmegaji nje hapo itakua ngoma droo.
Bt kama mm ni muaminifu then yeye alete mapepe, ni kumwaga tu.
 
binadamu sote tunakosea. Pamoja na kujitahidi kuushinda udhaifu kwa binadamu upo tu. Samehe tu ndugu yangu, mpe nafasi nyingine. Kwa kuwa bado unampenda, usiujeruhi moyo wako mwenyewe kwa kumwacha. Alichofanya ni kweli kinauma lkn samehe x 70.

mkuu mambo mengine ni ku risk, hv mtu kashamegwa na watu wawili within 5 months! Je ingekua 2 yrs ingekuaje? Kuna magonjwa mkuu hebu muonee huruma jamaa mana hapo anatafuta kifo ni bora amtose tu.
 
Achana naye c mwaminifu atasahau thn ck nyingine atakuja kukuumiza zaidi tena! Heri kinga kuliko tiba bwana!
 
angeconfes mapema bila wewe kumshawishi ningesema ameikataa hali hiyo, lakini kwa style hiyo muepuke.
 
Aisee hapo ipo wazi hutakaa umuamini kamwe 2nd~ Kunauwezekano ulikua humridhishi kimapz ndio maana akachek pembeni..amerudi kwako baada yakuona kule pia hakumfai...sasa atakapo toka tena akakutana na atakaye mgusa vilivyo basi utamsahau koz atakuacha yeye.Kumshawishi mwananke mpaka akavua chupi cjambo dogo...sio sawa na mwanaume kushawishiwa akavua boxa wch z very easy.
Sasa mdau....kubali maumivu sasa umuache kuliko maumivu ya baadae kuachwa wewe...Hawanaga huruma kwenye kuacha mtu hawa dada zetu.GO men
 
pole sana mkuu...hawa wanawake siku hizi ni aibu sana wanaleta mi nimeamua kuwa mgumu asilia
<br />
<br />
Sasa mdau...kutokua na mpenzi sio ugumu ni tatizo tafuta Psychologist akusaidie.
Labda iwe ni fikra ziczo komaa za enz ya sec' school.
grow up hapo inamaanisha still una pain ya past relation....find your woman she is out there go and make her yours bro...Usilaze damu.Toa hizo fikra...Hamna kitu kama ugumu duniani...Go & find Love...go...gooo ...go men!
 
Utasahau tu.ucmwache.
<br />
<br />
Hatasahau....naikitoke ukasafiri tena tu mawazo yatakua ni yaleyale....
Unajua nn nirahic kwa mwanamke kuabstain .....I wonder yeye miezi 3 cjui 5...tayari kashapinduliwa na hao ni ulio wagundua...hw abt siri nyingine aliokuficha..naamini siri mtu unayoigundua nia % ndogo tu ya siri nzima...Je umewaza hiloo? Au yuko na wewe coz anauhakika wa kula kesho na keshokutwa.....Hayuko kimaslahi huyo?
Fikiria mwisho wa siku maamuz ni yako.
 
Back
Top Bottom