vivian
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,749
- 1,000
Wanajamii,
Nimetokea kuipenda sana Mboga ya mchicha kwani ina faida nyingi sana katika mwili wa mwanadamu.
swali: Haya maji yanayotumika kumwagilia mchicha hapa Dar huwa yanatoka wapi?
Mto msimbazi unajulikana sana kwa kilimo cha mchicha. Je haya maji ya mto Msimbazi chanzo chake ni nini?
wanajamii nisaidieni majibu!
Nimetokea kuipenda sana Mboga ya mchicha kwani ina faida nyingi sana katika mwili wa mwanadamu.
swali: Haya maji yanayotumika kumwagilia mchicha hapa Dar huwa yanatoka wapi?
Mto msimbazi unajulikana sana kwa kilimo cha mchicha. Je haya maji ya mto Msimbazi chanzo chake ni nini?
wanajamii nisaidieni majibu!