H mchange mnamkuza wenyewe kwenye media.huyu c mtu wa kumjadili hata kidogo ni mpuuzi tu
Mchange ni nani?
Nimekupata mkuu, kula like yangu.Mkuu Chakaza, kwanza asante!. Habari ni bure!, bahasha za khaki ni by the way tuu!, ziwepo, zisiwepo, bado habari kama ni habari itasimama tuu!. Lengo la bahasha ni logistics
Ila pia kwa habari hii, kwa jinsi nilivyoisoma!, narudia tuu ile kumbu kumbu yangu kuwa, kuwa ...sio mtu lazima mpaka aokote makopo!.
Thanks.
Pasco.
Yaani we ndo umejua leo? Huyo ni muuaji anayejulikana siku nyingi. Amekua akitumika kwa sababu hajitambui na hawezi kuwa na maisha nje ya siasa.
Wewe hujawahi kushangaa mtu aliyefeli chuo kikuu cha Dar es Salaam kurundikiwa madaraka kibao wakati hana elimu? Sababu kubwa ni kuwa huwa anaweza kutumika kirahisi kuua watu.
Huyo bwana Red yaani kama kuna mtu kabugi siasa ni huyu dogo fisadi, ana hekalu kamjengea mwanamke wake aliyemzalisha maeneo ya Kimara Matosa ntaupiga picha Muda ntautupia humu
Duh! Mimi nimeishia hapa, maana hili jaamaa nalikana na ndio maana watu walisema hakika kama Picha zisingekuwepo leo hii tungeamnishwa kuwa CHADEMA ndio wamefanya maujai yale.
"Wakati Dunia Nzima Leo inaamini kwamba polisi wa F.F.U walihusika kumuua David Mwangosi tarehe 2.9.2012 pale Nyororo Iringa,MBOWE, LISSU, MNYIKA na SLAA wanaujua ukweli, wanajua ni namna gani mchezo huu ulipangwa, namna gani mpiga picha aliandaliwa, namna gani taarifa za awali zilisambazwa na namna gani mlipuaji alifika eneo latukio na kutekeleza kazi yake maalum na baadae kuondoka kwa utaalamu wa hali ya juu, wanafahamu fika. Na kwenye hili pia mpaka sasa polisi wanahangaika kujinasua, lakini bado wamekwama. "
HABIBU MCHANGE AKANA TUHUMA ZA KUHUSIKA NA ULIPUAJI WA HELKOPTA ILIYOWABEBA MNYIKA NA SLAA.
Leo mchana katika mkutano wake na waandishi wa habari,Mchange amewashambulia waziwazi viongozi wakuu wa chama cha demokrasia na maendeleo na kuwatuhumu kuhiska na mauaji ya aliyekua mbunge wa CHADEMA Tarime,marehemu Chacha Wangwe,kisha kumkana mtu aliyehusika na mauaji hayo Deus Mallya,wakati alikuwa mjumbe katika kamati iliyokuwa chini ya John Mnyika,na rafiki wa Mnyika lakini Mnyika kumkana hajawai hata kumuona.
Kisha kawataja Lissu,Mbowe na Slaa kuajiri vijana na kuwalipa kuwatesa vijana wanaoonyesha kuiunga mkono CCM katika kampeni mbalimbali za chama,hasa kwa kumwagia watu tindikali.
Pia amesema Lissu ni mbinafsi na fisadi aliyedhurumu fedha za miradi ya mazingira,na kujenga nyumba ya ghorofa Tegeta,Mbowe anahujumu mamilioni ya CHADEMA,na Slaa akihujumu fedha za chama kulipia mkopo wa NSSF.
===================================
Waandishi wa habari kuwaita wakusikie mpaka ukidhi vigezo gani jamani, msaada.... Pasco
Kuna siku yoyote CCM walikuja na tuhuma tofauti ma hizi/
Mkuu Matola, kwanza asante kuzungumzia jinsi waandishi wanavyodharauliwa kiasi hiki!, kazi ya uandishi ni noble profession kama noble professions nyingine zote, ni kazi ya wito na ni kujitolea kama ualimu, udaktari na kazi za kanisa!, waandishi ni watumishi wa watu wakifanya kazi ya kutumikia jamii, ila kwa upande mwingine, katika jukumu lao la kukusanya habari, watu wote wanakuwa ni abiria wao, huwezi kuchagua!, wazima, vichaa, lunatics, etc, wote kwetu ni source.Hivi ni kwa nioi waandishi wa habari wanadharauliwa kiasi hki? Hao waandishi wanaowasikiliza vichaa kama hawa huwa wanauliza na maswali magumu pia?
Cc: Pasco
Nkuu Chikutentema, kwanja, achante!. Sifa ya kuita Press Conference ni
1. Uwe na umri wa miaka 18
2. Uwe na akili timamu
Thats all.
Thanks.
Pasco
Matusi ya nini kamanda au ndio silaha kuu ya chama?
Wewe ni kibaraka na mchumia tumbo