measkron
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,782
- 2,406
<br />Rushwa zenyewe elfu mbili, elfu tano!<br />
Eti mgonjwa au ndugu wa mgonjwa anaambiwa: "Hela/ Pesa ya Daktari a.k.a CCD (Chakula Cha Daktari)"<br />
Mbona tunaaibishwa!<br />
<br />
Kama wanaokataa rushwa wapo ni wachache na wale wanaokataa inategemea ni rushwa gani na ni rushwa kwa ajili ya nini (japo zote ni rushwa tu), lkn hii ya kusema elfu mbili, tano ya kumpatia Daktari, mjue mnaliwa na wafagiaji - wafanya usafi mawodini, kwenye ma-corridor n.k
<br />
Mkuu umenikumbusha wakati nafanya MMED OBGY Muhimbili wakatuhumu idara kuongoza kwa CCD, duh! Iliniuma sana nkiwaza 24hrs call, unapiga ceasarian section 15, hujatoka theatre hiyo ccd saa ngapi, mara nikambamba porter anadai ccd kwa mgonjwa, kumbe na other residents idarani walikuwa wanamjua jamaa kwa kudai ccd. Ni kweli wachukua ccd wengi ni wafagizi. Anakuja na file nsaidie kumwona huyu ndugu yangu, huku keshamtel huyo jamaa huyu doc bila elfu 20 hakuoni, ye ndo anazitia ndani zote.....