Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
Nyie mmewaharibu hadi mbwa wamekua kama masisterduuhataki matiti yake yaharibike bna
Nyie mmewaharibu hadi mbwa wamekua kama masisterduuhataki matiti yake yaharibike bna
mambo ya kizazi cha mwendokasi anawaza urembo wake hapoNyie mmewaharibu hadi mbwa wamekua kama masisterduu
Bsi ww noma sananawanyeshwa wtoto maziwa mimi mwenyewe kwa utaalamu wangu
nimefanyia hivyo hivyo nimemtenga mbnwape maziwa kwa njia mbadala ila mwache alale nao il awape joto kipindi cha baribi kama anawalalia vibaya unaweza kuwatenga kwa kuwaweka kwenye boksi na uwawekee kitambaa safi wanapolala ili wasipate baridi mimi mbwa wangu German Shepherd mmoja ana tatizo kama hilo na akizaa tu uwa namtenganisha na watoto na inasaidia uwa hafi hata mmoja. Pia mwone daktari kwa ushauri zaidi
nipo dsm mimiKama kuna mtaalam wa mifugo karibu na ulipo kamueleze usipate tabu sana. Kama ni maziwa hayatoki amchome hormone inayohusika na kutoa maziwa (milk let down), kama yanatoka na hataki tu kuwanyonyesha basi hivyo vitoto vitakua vinamuumiza kila akijaribu kuvinyonyesha. Yote kwa yote lishe iimarishwe kwa mama na watoto. Natamani kujua uko wapi, mie niko Mbeya in case uko karibu na maeneo haya zungumza nijue nakusaidiaje.
siwauzi mzaziEndelea kuwanywesha maziwa mwenyewe mara nyingi kwenye uzao wa kwanza mbwa anakuwa hana uzoefu mzuri wa kulea watoto wake, kama utawauza hao puppies nicheki pm tufanye biashara mkuu
hahahaahahahshs hapn ndguNyie mmewaharibu hadi mbwa wamekua kama masisterduu
Kila saa? Mbwa anakula kila saa? Mbwa anakula mara moja kwa siku yaani ukimlisha jioni akashiba ni mpaka kesho jioni tena. Ila hivi vipuppy vinakula mara tatu kwa siku na baada ya hapo utakuwa unavipunguzia kadri ya umri. Siyo mimi ni niliambiwa na Veterinary doctornampa chakula kila saa lkn still badoo hanyonyeshi
aha nishaelwa nitafanya ivyooKila saa? Mbwa anakula kila saa? Mbwa anakula mara moja kwa siku yaani ukimlisha jioni akashiba ni mpaka kesho jioni tena. Ila hivi vipuppy vinakula mara tatu kwa siku na baada ya hapo utakuwa unavipunguzia kadri ya umri. Siyo mimi ni niliambiwa na Veterinary doctor
aha okay sawa ndguNi uzao wake wa kwanza?
Kama ni uzao wake wa kwanza hiyo ni kawaida sana kwa wanyama wote ata binadamu. Uzao wa pili atanyonyesha mwenyewe.
Endelea kutumia hiyo njia mbadala kuwalisha hao watoto.
ww upo pand zip mkuu ...nimemwekea ameuwa viwili vikabaki vitatu ndoo sijamwekea tena sema vinaafyawape maziwa kwa njia mbadala ila mwache alale nao il awape joto kipindi cha baribi kama anawalalia vibaya unaweza kuwatenga kwa kuwaweka kwenye boksi na uwawekee kitambaa safi wanapolala ili wasipate baridi mimi mbwa wangu German Shepherd mmoja ana tatizo kama hilo na akizaa tu uwa namtenganisha na watoto na inasaidia uwa hafi hata mmoja. Pia mwone daktari kwa ushauri zaidi
just nataka hivyo mkuuSwali lako litakuwa na maana ukiwauliza wazungu kwa sababu umesema mbwa wa kizungu hivyo uenda anawataka wazungu wenzie.