MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
kubenea kwishiney hana ubavu wa kugonga nyoyo ya wakazi wa mafia hata wakampa ubunge
Wana JF nasisitiza tuzipokee taarifa kama hizi positively kuliko kuanza kuponda. Huyu mtu apongezwe kwa kuwaachia wengine wajaribu kinyume ili na majimbo mengine waige mfano wa mbunge wa Mafia. Kama tunatukana kila kiti then sisi siyo great thinkers. Nawasilisha
kubenea kwishiney
mkuu sio shule tu. hata chuo kimoja ameshindwa kuanzisha. lkn kwa kuwa amejua upepo wa vijana, ameamua kukaa chonjo
CDM tuanze kumuandaa NASSARI wa mafia mapemaaaaaaaaaaaaaaaaa.
Mdogo wake dr. Dau ndo anayejiaandaa kuchukua jimbo.