nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Na kwanini anakwenda Igunga? Igunga si Tabora tena?
Huyu LEMBELI hana nyumba Kahama,anakaa Guest,ni sawa na LA na Igunga,hana makazi ya kudumu anakuja kuchuma tu.
nyie ndo mnamaliza Darasa la saba bila ya kujua kusoma na kuandika na bado sio mataahira! Wapi pameandikwa Igunga??
na kwanini anakwenda igunga? Igunga si tabora tena?
Huyu LEMBELI hana nyumba Kahama,anakaa Guest,ni sawa na LA na Igunga,hana makazi ya kudumu anakuja kuchuma tu.
Mimi sioni tatizo la Lembeli kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Uenyekiti mkoa ni haki yake kwa mujibu wa katiba ya CCM kwa hiyo anatimiza wajibu wake kikatiba jamani.[/QUOTE ]Lakini sio Mapema Mno kwa CCM kugombea cheo ndani ya Chama? nadhani simpaka itanganzwe ?