Inaonekana watu wanajua nani kambi ya kifisadi na nani kambi inayopambana na ufisadi. Vita hii inakuwa kama ni vita ya mwanga na giza, au hata vile mungu na shetani. Kinachoshangaza iwapo watu hawa wataachiwa wapambane yule ambaye anaitwa sheitwani anaweza kuibuka mshindi, na watu wakaenda kwake kula ubwabwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.