Mbunge wa Jimbo la Liwale CUF Zuberi Kuchauka, muda wowote atahamia CCM

Waarabu hua wana adhabu kali sana ya kukata kichwa kwa cowards and traitors nimeanza kuwaelewa why
Just imagine wananchi waliomchagua na kumpigania wanajisikiaje ?this kind of person is so selfish kuunga jitihada za fulani ndio uwasaliti wananchi?definition ya usaliti ni ipi kama sio hii???
Anzia kwa Mh. Nyarandu ndiye alianzisha mchezo huu wa wabunge kujihuzuru! Itapendeza zaidi!!!
 
Pombe!! Anataka acheze mwenyewe!! Kama ana ushawishi na asiwawekee vikwazo ukawa nao wafanye siasa!!

Unapigana ngumi na mtu uliemfunga mikono?!
We pumba nn we
Kwani huyo mbunge si anahama kwa hiari yake
Nyarandu alivyohama mbona ilikuwa fresh tu
Kisa katoka ukawa kwenda ccm
Wasese nn
 
Ubongo ukitumika vyema japo kwa asilimia 5 tu ya uwezo wake, binadamu angekuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri. Hivi kweli, kuna mtu hapa Tanzania, awazaye, kwamba Magufuli anaweza akatumia fedha ya nchi ama kusababisha itumike, kisa tu Ccm na mavyama vyao?
Mjinga mkubwa sana wewe, unaongea hivyo ukiwa una maana gani?
 
Ukiongeza kufikiri kidogo tu, utayajua mengi sana. Jiulize, hivi nani ambaye, kwa wale wenye mawazo ya kununuana kwa wanasiasa kama wanavyo sajili timu za mipira,,,, ni ngazi ipi inayoratibu na kwa pesa zipi?

Halmashauri ndo itumie fedha zake kununua madiwani? Tena kwa mfano wa Arusha haiingii akilini kwa halmashauri ya Cdm kuwauza madiwani wake kwa Ccm. Au ni ofisi za ma DC ambazo hata hela za mafuta hazina na Oc hazitoshi?

Fedha za OC kwa halmashauri zote nchini hutolewa Hazina kuu wizara ya fedha; na hili zoezi la kununua wapinzani linafanywa na uongozi wa juu wa nchi kwa kuchota fedha Hazina , hakuna anaetoa hela yake mfukoni kumlipa Mtulia au diwani ili ahamie ccm, hizo ni fedha za umma, kodi zetu tunazolipa ambazo tulitarajia ziendeshe halmashauri zetu pamoja na miradi mbalimbali katika halmashauri ndio hizo zinanua wapinzani. RC, DC, DED au halmashauri hawana fedha za kumnunua Diwani au mbunge. Mambo Haya yote yanaratibiwa kutoka juu.
 
Nadhani kipimo sahihi ni kwa wapinzani kukosa hoja za msingi, wanakurupuka tu.
Mbona unajibu jumla jumla, jamaa amekuuliza swali gumu sana tupe kipimo sahihi, unakauja na hawana hoja za msingi? Ebu tuambie hoja za msingi nini nini? Acheni majibu mepesi kwenye maswali magumu.
 
Naombeni kuuliza,wakisha hamia ccm,uchaguzi ukirudiwa CUF watasimamisha mgombea tena?
Kama watasimamisha,kulikuwa na haja gani ya cuf kuachia kiti?

Kweli UKAWA inauwa kwa gharama,haya bana.
Huu mpango ni wa Lipumba na timu yake. Ndio wanaobagain wakishamaliza, wanakula chao kazi inaendelea.
 
Anzia kwa Mh. Nyarandu ndiye alianzisha mchezo huu wa wabunge kujihuzuru! Itapendeza zaidi!!!
Let make it simple brother Nyalandu ,Ntulia and co wamewasaliti wananchi wao ila hawa wa upinzani ndio zaidi kwa sababu umasikini wa Watanzania wamesababisha CCM tangu uhuru sasa ahadi gani ambazo Magufuli anatekeleza ?kama mikataba ya madini Dr slaa na wapinzani kama Zito wameimba sana

Waulize hao waliohama kuna sababu ya msingi zaidi espec wanaohama upinzani wamelambishwa fedha ndio maana ya usaliti inapokuja
 
Ndio maana toka mwanzo mchezo wa kitoto kupiga kura huwa siuchezi na haitotokea kwenda kupigwa na jua eti kumchagua mgonbea wangu aniletee maendeleo..siasa za bongo UNAFKI MTUPU...
Hayo ni mawazo yako mgando ndugu yetu. Kutokwenda kupiga kura hakudaidii kitu, bali ndio kunaongeza matatizo na ndio hayo unayoyapata. Kura yako 1 inathamani mara 1000 na zaidi ya unavyofikilia.
 
Tatizo ikibaki ccm wataanza kuumana wao kwa wao,

upinzani upogo tu iwe nje ya
 
Let make it simple brother Nyalandu ,Ntulia and co wamewasaliti wananchi wao ila hawa wa upinzani ndio zaidi kwa sababu umasikini wa Watanzania wamesababisha CCM tangu uhuru sasa ahadi gani ambazo Magufuli anatekeleza ?kama mikataba ya madini Dr slaa na wapinzani kama Zito wameimba sana

Waulize hao waliohama kuna sababu ya msingi zaidi espec wanaohama upinzani wamelambishwa fedha ndio maana ya usaliti inapokuja
Wamelambishwa fedha kvp
Tufafanulie
 
leo wapinzani wanahongwa na kununuliwa et wanaunga mkono juhudi za raisi,kama anajuhudi ya kazi ni wajibu wake,ila cha ajabu ndiyo raisi wa kwanza mwenye juhudi kubwa toka uhuru sasa sijui huzo juhudi anafanyia wapi mbona binafsi sizion labda tuwaulize wanachato...wanaomuunga mkono kwa kuhamia ccm ni wanafiki wakubwa kazi ya upinzani ni kukosoa serikali ili iongeze juhudi na si kuiunga mkono ili ibweteke....
 
Kwani wakibaki huko walipo hawawezi muunga mkono rais kama wanapendezwa na utendaji wake ?
 
Back
Top Bottom