Mbunge wa Jimbo la Liwale CUF Zuberi Kuchauka, muda wowote atahamia CCM

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,244
7,966
Muda wowote kuanzia sasa, kuna uwezekano mkubwa wa Mbunge wa jimbo la Liwale(CUF)Mh ZUBERI KUCHAUKA kuhamia CCM kuunga mkono juhudi za Mh Rais kama wahamiaji wengine wanavyosema.

Jumapili njema kwenu nyote!!

=======

UPDATES; 13 AG 2018 1230hrs

Dkt. Bashiru Ali amempokea Zuberi Mohammed Kuchauka aliyekuwa Mbunge wa CUF Liwale
12932832_726324570838247_4723790064865035612_n.jpg

Anasema anarejea CCM imebadilika. CCM aliyoiacha mwaka 2005 sio hii ya leo. Hii CCM ya awamu ya tano nmekubali kwamba imerejea kwenye Misingi ya TANU. Misingi ya TANU imerejea, hivyo sikuona kigugumizi cha kurejea.

Habari zaidi, soma=>Mbunge wa jimbo la Liwale(CUF) Zuberi Kuchauka atangaza kujiuzulu na kuhamia CCM - JamiiForums
 
Muda wowote kuanzia sasa, kuna uwezekano mkubwa wa Mbunge wa jimbo la Liwale(CUF)Mh ZUBERI KUCHAUKA kuhamia CCM kuunga mkono juhudi za Mh Rais kama wahamiaji wengine wanavyosema.



Jumapili njema kwenu nyote!!
Mm sijawai kuwaamini Cuf hata sikumoja .
 
Waarabu hua wana adhabu kali sana ya kukata kichwa kwa cowards and traitors nimeanza kuwaelewa why
Just imagine wananchi waliomchagua na kumpigania wanajisikiaje ?this kind of person is so selfish kuunga jitihada za fulani ndio uwasaliti wananchi?definition ya usaliti ni ipi kama sio hii???
 
Habari za kuaminika nilizopata asubuhi hii ni kuwa hawa wabunge wanaotangaza kuacha ubunge na kujiunga na ccm kumuunga mkono jpm wanaandaliwa na serikali fedha sawa na KIINUA MGONGO CHAO wangemaliza miaka mitano. Kwao kiuchumi hawajapoteza ila sisi kama taifa tumeumia. Napata mashaka kuwa huko juu kuna mtu akiona mahela haya ya serikali anaona ni mengi sana
 
Back
Top Bottom