Ila wakati wa Karume baba na Jumbe wazanzibari walikuwa wakija bara lazima wawe na paspoti.
Mheshimiwa mbona anaturudisha nyuma? Huko tulishapita, wenzetu ulaya wanaendelea kuungana, nchi za Africa mashariki zinazidi kupanuka na kutumia passport Moja sisi tunafikiria kusafiri kwa passport kwenye nchi Moja, Kuna shida mahala.
 
Si tuuvunje tu Muungano. Yani anayasemea haya akiwa yupo kwenye ardhi yetu ya Tanganyika aisee
Analipwa posho na watanyika maana Zanzibar haichangii hata senti tano kuendesha nchi, bado wanataka mfukoni wa Jimbo uongezwe wakati hawachangii, wanachukua payee wakati hawachangii.
Kama wana ardhi chache wanakuja kuchukua markari ya ardhi ya Nini.
 
Na wao wakija bara wawe na passport tena wasiruhusiwe kukaa huku zaidi ya wiki 2
 
Mbunge amepotoka Sana,watanganyika gani wanamiliki ardhi Zanzibar,wanufaika wakubwa wa Muungano ni wanzibar,wapemba wengi wako bara,mpaka mbarali huko wako wapemba na wamejenga nyumba.Hapa Dar ghorofa au nyumba nyingi ni za wapemba. Aache chuki au kujenga chuki miongoni mwa watanzania.
Ushauri
Huyu ana viashilia vya uhaini,ajitafakari na hafai kuwa kiongozi
 
Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.

Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Makamu wa Rais kwa mwaka 2024/25 leo Jumanne Aprili 24,2024, Issa amesema lengo ni kuvilinda visiwa hivyo.

“Kwa nini waliweka pasipoti (hati za kusafiria) visiwa vile vinahitaji kulindwa, mimi sikubaliani na suala la kutovilinda visiwa saa hizi. Sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea hawatakuwa na sehemu ya kuishi,”amesema.

Issa amempongeza, hayati Abeid Karume kwa kujenga maghorofa yale (hakusema yako wapi) kwa kuwa alitaka Wazanzibar wote wakae humo, kwa sababu aliona ardhi ni ndogo sana.

“Sasa hivi ukienda pale Zanzibar utakuta viwanja vimechukuliwa, miti imekatwa, kulikuwa na zao la mikarafuu haliko tena, imebakia Pemba tu na kule Pemba linakwenda kuisha minazi hakuna sasa hivi tunaagiza kutoka Mafia ,”amesema.

Amesema jambo hilo sio zuri na hata ajira za watalii hawapati tena Wazanzibar wanaofanya kazi hizo ni wageni.

=====

My Take
Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
Upuuzi wa kupeleka Mkutano wa Mamlaka za Tanganyika (ALAT) kufanyika nchi nyingine ukome.
 
Mnautazamatu muungano uvunjike wakati hata tanganyika imevunjika.
Wapo wenye uhakika wa kazi na ajira hasa kwenye teuzi. Wapowapotu lakini wanahamishwa wakiiba hapa wanaenda pale.
Waliokua machawa ndio wenye nchi maana wapo karibia na jiko
 
Nyerere sijui alitoka wapi na hawa mapumbavu!!
Bana weeee! Na mimi ndo nachoka akili hapo......

Nyerere kabisa kabia akaamua kugawana nchi yake na kakisiwa.... alituingiza huu mkenge jamani, tunatokwa machozi, tunavuja damu..... kwa kutaka sifa za kuwa African stateman... statesman gani mjinga anaegawa maslahi na rasilimali zake ?

Mimi nimegundua Mwafrika huwa hana spatial awareness, hatambui hatari zilizoko usoni mwake....Akili za Nyerere kwa uamizi ule ni sawa sawa na wachota mafuta tanker likipinduka.... kutotambua hatari usoni mwako


lori la mafuta.PNG


mtu haoni hatari usoni mwake, ndo maana mpaka leo kiongozi wa nchi anagawa mapande ya ardhi yake, Mwafrika aliuza wenzie utumwani, tunagawa mpaka bandari ya nchi, tulipeleka wanajeshi kufia Namibia na Zimbabwe huko for nothing zaidi ya kutaka sifa za kimataifa, bila maslahi yeyote... tunajigawa bure, huwa hatuna upeo masikini ya Mungu wa kuona hili jambo na lile na lile ni hatari kwa masilahi yangu na uhai wangu

I mean, how stupendously stupid can you be to give someone else your giraffes and lions so they can go and start their own artificial game parks in the Arabian desert ?????
 
Back
Top Bottom