Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,722
- 21,114
Shamba la bibi kwa namna gani?, umekosa ardhi ya kulima? Au wanaiba rasilimali za bara? Eleza kwa kina.Kwahiyo Tanganyika iendelee kuwa kama shamba la bibi tuu, na hao Zanzibar wanatumia Tanganyika kama shamba la bibi tuu.