Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Siku zote huwa naamini regardless utofauti wa itikadi za vyama lkn lengo kubwa la tuliowapigia kura na kuingia Mjengoni ni kuhanikiza maendeleo yetu na ya majimbo yetu sisi wapiga kura,lkn jambo lililonishangaza wakati mradi mkubwa kabisa wa maji ukizinduliwa Mjini Mbeya sikumbuki kuona uhusika wa Mheshimiwa Mbunge wa jimbo husika katika event ile,ninajiuliza maswali mengi sana kwa kitendo chake cha kutoshiriki, je hakuona umuhimu wa mradi ule ikiwa wapiga kura wake wameteseka kwa muda mrefu wakipata shida ya maji?,au ksbb jambo jema lile limefanikishwa na Serikali iliyo chini ya Chama tawala aliona aibu ku'show-up?
Embu nyie wapiga debe wao mnifafanulie hili,inakuwaje...
Embu nyie wapiga debe wao mnifafanulie hili,inakuwaje...