Au siyo mkuu? Maharage kwa mahindi wapi kwa wapi? Sugu atuonyeshe alipolipa "kodi kwa taifa letu" kutokana na show zake za Bongo, achilia mbali zile anazodai kufanya Marekani.
S.6(2)ya income tax act 2004..... Non resident anatakiwa akatwe 15% ya kipato chake.