Mbunge ajaye wa Mbeya Mjini, Sugu, kusikika Clouds TV 23/11/2023

Sugu hawezi kushindana na msomi na mwanasheria nguli. Mbeya mjini siyo jimbo la wahuni .sugu apeleke uhuni wake huko na ubabaishaji wake huko.amekaa miaka kumi bungeni lakini ukimuuliza ni kipi anajivunia na alama aliyoiacha pale Mbeya huwezi ukaonyweshwa hata kwa tochi.

Sugu hana chake tena Mbeya mjini.hakuna mwenye akili Timamu anayeweza kumpigia kura. labda vichaa na wendawazimu ndio wanaweza kumpigia kura lakini kwa bahati mbaya ni kuwa hakuna anayeweza ruhusu vichaa wapige kura. kwa hiyo sugu akae kwa kutulia tu maana hatapata tena ubunge mbele ya Dr Tulia Rais wa IPU anayeangaliwa na kutizamwa na Dunia nzima
Achana na huyo katibu mwenezi uchwara wa Chadema. Sugu na Profesa J ni watoto kindaki ndaki wa mama. Hivyo usishangae mwaka 2025 akawapiga chenga ya mwili Chadema katika dakika za mwisho, kwa kujitoa Chadema na kuhamia CCM kwa lengo la kumuacha Dr Tulia aendelee kugombea bila upinzani.

Alaf baadae mama akampa sugu ubunge wa kuteuliwa, na hatimae kumteuwa tena kuwa waziri wa michezo na utamaduni akisaidiana na msanii mwenzake Mwana FA.

Sugu ni miongoni mwa wapinzani wachache ambao muda wowote wanaweza kwenda ikulu kuonana na raisi na wakaruhusiwa bila shida.
 
Achana na huyo katibu mwenezi uchwara wa Chadema. Sugu na Profesa J ni watoto kindaki ndaki wa mama. Hivyo usishangae mwaka 2025 akawapiga chenga ya mwili Chadema katika dakika za mwisho, kwa kujitoa Chadema na kuhamia CCM kwa lengo la kumuacha Dr Tulia aendelee kugombea bila upinzani.

Alaf baadae mama akampa sugu ubunge wa kuteuliwa, na hatimae kumteuwa tena kuwa waziri wa michezo na utamaduni akisaidiana na msanii mwenzake Mwana FA.

Sugu ni miongoni mwa wapinzani wachache ambao muda wowote wanaweza kwenda ikulu kuonana na raisi na wakaruhusiwa bila shida.
Sasa kama ni hivyo kinachokuliza ni nini ?
 
John Sigwemisi Malecela aliyekuwa Waziri Mkuu aliangushwa kwa kishindo na Lusinde
Sugu hana ubavu wa kumuangusha Dr Tulia Acksoni Mwansasu Rais wa IPU na speaker wa Bunge.Sugu alipewa miaka kumi kuongoza jimbo la Mbeya mjini lakini ukimwambia alifanya nini katika hiyo miaka kumi hawezi kukupa majibu maana hata yeye mwenyewe haelewi alichotekeleza zaidi ya kujineemesha yeye na tumbo lake na kujisifia kuwa ameshakuwa tajiri na kujaza account zake benki.kwa hiyo unaweza ukaona namna alivyo na ulimbukeni pamoja na ujivuni wa kijinga na dharau juu.

Sugu hajikupata tena ubunge katika jimbo lolote lile hapa Tanzania.
 
View attachment 2822083

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Mbunge ajaye wa Mbeya Mjini, Mfanyabiashara , Mwekezaji wa Kimataifa , Bilionea Joseph Mbilinyi , asubuhi ya 23/11 /23 , atakuwepo kwenye Clouds TV kwa mahojiano Maalum .

Usibadili Channel kwa Mawe Matakatifu .
Sugu ana shiriki uchaguzi kwa kupitia tume ipi? Hii tume ambayo Mh Tundu Lissu ameikataa na kuwambia msishiriki?
 
Hilo la Lissu na ubinafsi hebu tuliweke pembeni, ni mawazo yako binafsi pia.

Hili la Chadema ni chama kikubwa, kinahitaji pesa kujiendesha hivyo lazima kishiriki uchaguzi, kwasababu hapo watapata ruzuku na michango ya wabunge kwaajili ya shughuli za chama, naona hapo ndio umeandika pointi.

Lakini, hiyo pointi yako nakuja kuipinga kwasababu walishatuambia wana kitu kinaitwa Chadema digital, kwamba walikuwa na mpango wa kuwaandikisha wanachama milioni moja au zaidi nchi nzima, kisha hawa wanachama watapolipia kadi zao, basi chama kitapata pesa za kujiendesha, huu mpango wao sijui uliishia wapi.

Hapo utaona kwamba, Chadema na mapato sio lazima kushiriki uchaguzi, wana njia nyingine tofauti, kwangu mimi nionavyo zaidi, kushiriki uchaguzi kunakuwa na manufaa ya kiuchumi kwa mbunge binafsi, zaidi ya chama chao, au hata majimbo wanayo bahatika kushinda.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Mkuu Chadema ni chama cha siasa, na kinaendeshwa, au kuongozwa na wanasiasa kama ilivyo kwa CCM, CUF nk, kwahiyo usitegemee ukweli wa 100% katika swala linalohusu hela, au masilahi ya chama.

Hakuna mwanasiasa mkweli kwa 100% hata kwa Nyerere mwenyewe. Hivyo wao sometimes husema uongo kulingana na mazingira yalivyo. Mfano kwenye swala la digital, wanaweza kukwambia kuwa wamefanikiwa kuandikisha watu Mil 3 au zaidi, ili kuwapa moyo wale wasiojiandikisha na wao wapate moyo wa kujiandikisha. Ila ukija kufuatilia kimakini behind the scene unakuta walioandikwa hawafiki hata laki 3 achana na hiyo Mil 1 uliyoelezwa.

So kwa mantiki hiyo, kwa vile wao waliopo jikoni (viongozi) ndio wanaojua ukweli. Ndio maana inapotokea swala kama hili la uchaguzi wanakaa pamoja na kuamua kwamba acha tuingize chama kwenye uchaguzi ili tupate pesa za kweli za kujenga na kukiendesha chama (achana na hizi hela za hewa walizowadanganya wanachama wao) ili kuwapa moyo wa kukimbilia kujiandikisha zaidi na matokeo yake wengi hawakujiandikisha kama ilivyotarajiwa.
 
Sasa kama ni hivyo kinachokuliza ni nini ?
Mimi nalizwa au namuelewesha huyo kijana. Si Tulia wala Sugu anae endesha maisha yangu yaliojaa baraka na furaha tele.

Mimi mpambanaji huru, leo nipo Kaburu kesho Tz, nawacheki tu kwenye set mirrors nyie wafia vyama.

Pole mkuu kama nimekutoa kwenye mitego yako ya kupata tonge kuhusu post hii ya Sugu 🤣🤣🤣
 
Mkuu Chadema ni chama cha siasa, na kinaendeshwa, au kuongozwa na wanasiasa kama ilivyo kwa CCM, CUF nk, kwahiyo usitegemee ukweli wa 100% katika swala linalohusu hela, au masilahi ya chama.

Hakuna mwanasiasa mkweli kwa 100% hata kwa Nyerere mwenyewe. Hivyo wao sometimes husema uongo kulingana na mazingira yalivyo. Mfano kwenye swala la digital, wanaweza kukwambia kuwa wamefanikiwa kuandikisha watu Mil 3 au zaidi, ili kuwapa moyo wale wasiojiandikisha na wao wapate moyo wa kujiandikisha. Ila ukija kufuatilia kimakini behind the scene unakuta walioandikwa hawafiki hata laki 3 achana na hiyo Mil 1 uliyoelezwa.

So kwa mantiki hiyo, kwa vile wao waliopo jikoni (viongozi) ndio wanaojua ukweli. Ndio maana inapotokea swala kama hili la uchaguzi wanakaa pamoja na kuamua kwamba acha tuingize chama kwenye uchaguzi ili tupate pesa za kweli za kujenga na kukiendesha chama (achana na hizi hela za hewa walizowadanganya wanachama wao) ili kuwapa moyo wa kukimbilia kujiandikisha zaidi na matokeo yake wengi hawakujiandikisha kama ilivyotarajiwa.
Hivi wewe ni CCM au upinzani?

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Sugu hana ubavu wa kumuangusha Dr Tulia Acksoni Mwansasu Rais wa IPU na speaker wa Bunge.Sugu alipewa miaka kumi kuongoza jimbo la Mbeya mjini lakini ukimwambia alifanya nini katika hiyo miaka kumi hawezi kukupa majibu maana hata yeye mwenyewe haelewi alichotekeleza zaidi ya kujineemesha yeye na tumbo lake na kujisifia kuwa ameshakuwa tajiri na kujaza account zake benki.kwa hiyo unaweza ukaona namna alivyo na ulimbukeni pamoja na ujivuni wa kijinga na dharau juu.

Sugu hajikupata tena ubunge katika jimbo lolote lile hapa Tanzania.
Wewe ni Mungu Pumbavu?????Kumbuka kilichomkuta Magufuri 2021 baada ya kuchagua aliotaka kufanya kazi nao mwisho wa yote hakupata hata nafasi ya kufanya kazi nao baada ya uchaguzi.Mtaka yote kwa pupa hukosa yote,Wahenga walishasema.
 
Wewe ni Mungu Pumbavu?????Kumbuka kilichomkuta Magufuri 2021 baada ya kuchagua aliotaka kufanya kazi nao mwisho wa yote hakupata hata nafasi ya kufanya kazi nao baada ya uchaguzi.Mtaka yote kwa pupa hukosa yote,Wahenga walishasema.
Dr Tulia ndiye mwenye hati miliki ya jimbo la Mbeya mjini kwa sasa. Mungu ndiye atakayeendelea kumlinda na kumjalia uzima na afya njema ili kutimiza kusudi la kumuinua katika kuja kuwasaidia wana Mbeya ni mzigo iliyokuwa imewaelemea.
 
Wewe ni Mungu Pumbavu?????Kumbuka kilichomkuta Magufuri 2021 baada ya kuchagua aliotaka kufanya kazi nao mwisho wa yote hakupata hata nafasi ya kufanya kazi nao baada ya uchaguzi.Mtaka yote kwa pupa hukosa yote,Wahenga walishasema.
Dr Tulia ndiye mwenye hati miliki ya jimbo la Mbeya mjini kwa sasa. Mungu ndiye atakayeendelea kumlinda na kumjalia uzima na afya njema ili kutimiza kusudi la kumuinua katika kuja kuwasaidia wana Mbeya ni mzigo iliyokuwa imewaelemea.
 

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Mbunge ajaye wa Mbeya Mjini, Mfanyabiashara, Mwekezaji wa Kimataifa, Bilionea Joseph Mbilinyi, asubuhi ya 23/11 /23, atakuwepo kwenye Clouds TV kwa mahojiano Maalum.

Usibadili Channel kwa Mawe Matakatifu.
Yaani tumpoteze Rais wa UPA Kwa Ajili ya kibaraka wa USA Aliyeshindwa kazi Kwa miaka 10? U can't be serious.

Wewe mwenyewe utampigia kura Mwakibete au Tulia na sio huyu mbumbumbu
 
Mtaji wa siasa ni watu , huyu mama kaja juzi Mbeya na helikopta ya Jeshi , lakini wiki moja kabla polisi walisambaa barabarani mkoa wote na vipaza sauti , si kwa ajili ya wiki ya nenda kwa usalama bali kuhamasisha watu wajitokeze kumpokea Tulia , kuna maeneo mengine waligawa mpaka Nauli .

Sasa cheki waliojitokeza ! Aibu !
 
Back
Top Bottom