Mbu

MJ1 mbona heading inamuhusu Mbu ndo muzee ? am kiddin' na wewe uwe na weekend njema

Ah FL1 ... we acha tu... nadhani nimemiss Mbu jukwaani maana leo tangu asubuhi kang'ang'ania ubongo wangu.

Sijui mzima huko aliko??:pout::A S confused::A S confused:
 
Ah FL1 ... we acha tu... nadhani nimemiss Mbu jukwaani maana leo tangu asubuhi kang'ang'ania ubongo wangu.

Sijui mzima huko aliko??:pout::A S confused::A S confused:

MJ1 nadhani na yeye alikumiss bwana umeingia kwa Room na yeye kajitokeza ..enjoy ur weekend D
 
Ooooh..Thanx alot dear!
U r too silent!
Mbu=Marrie But Unstoppable!...

Did you mean something different honey?
hahaha PJ jamani si namba yako ya zain imechakachuliwa kaka yangu sasa nalaumiwa ati nimekubinafsisha..... Acid huyo!!

Hicho kirefu cha Mbu mh !!
 
Ushindwe na ulegee kiungo chako muhimu..... Infii hakuna hapa.


Weekend njema
salamu kwa eliza
Hivi unajua kama si hiki kiungo weye usingekuwepo leo? Au kuna haja ya kufanya DNA test? Haya tema mate chini kabla sijakigonga hicho kiungo ardhini mara tatu upate habari yako:A S 13::A S 13:
 
Ah FL1 ... we acha tu... nadhani nimemiss Mbu jukwaani maana leo tangu asubuhi kang'ang'ania ubongo wangu.

Sijui mzima huko aliko??:pout::A S confused::A S confused:

...ha ha ha, ...MJ'1........ 'Sssshhhhhhhhhhhh!'
 
Hivi unajua kama si hiki kiungo weye usingekuwepo leo? Au kuna haja ya kufanya DNA test? Haya tema mate chini kabla sijakigonga hicho kiungo ardhini mara tatu upate habari yako:A S 13::A S 13:
Nithamehe Babu lakini kwani kiungo muhimu ni kipi?

Nisamehe Babu I withdraw my statement.
 
Back
Top Bottom