Elections 2010 Mbowe vs zitto

Status
Not open for further replies.
Kiongozi wa upinzani bungeni ni Waziri Mkuu Kivuli ingawa analipwa mshahara na marupurupu kama waziri wa kawaida. Anayo ofisi ya hadhi bungeni inayohudumiwa na serikali, Shangingi kama la Mawaziri na anakuwa na uwezo wa kuunda serikali kivuli. Hii ni nafasi ya juu kabisa katika duru za kibunge inashika nafasi ya tatu au ya nne kwa heshima ukianzia ya spika, waziri mkuu,kiongozi wa upinzani/naibu spika.
kwa hiyo anachokipigania Zitto ni ukubwa na marupurupu .

Kinachopiganiwa hapa na heshima, mishahara na marupurupu yanayo izunguka ofisi hii. Lakini sijui kwa nini hili lijadiliwe sasa maana nafasi hiyo inatakiwa kuchukuliwa na most senior official and a member of parliament aliyeko kwenye hicho chama.

Vyovyote itakavyo kuwa, hiyo ni nafasi ya mwenyekiti wa Chadema. Ndiye aliyekifikisha chama hiki mahali kilipo! He is the most senior Party official in the Parliament, hivyo hakuna ubishi wowote. Yeye ndiye mgombea urais wa chama hiki aliyeko bungeni sasa, hivyo yeye ni mtu wa kupimana ubavu na Kikwete na Waziri Mkuu atakayeteuliwa kwa vile mgombea wao Dr. Slaa atakuwa nje ya bunge for the time being.

Hoja zilizoletwa na Zitto kwenye BBC jana eti Balozi Ndhobo wa NCCR Mageuzi alikuwa Kiongozi wa upinzani bungeni wakati Mwenyekiti wake Lyatonga Mrema akiwa bungeni hazina maana wala kishikio chochote. Amesahau kuwa Mrema aliingia bungeni baada ya uchaguzi mdogo wa Temeke (muda ulikuwa umepita). Pia wakati ule hakukuwepo na chama rasmi cha upinzani bungeni. Ndhobo alikuwa Kiongozi wa wabunge wa NCCR Mageuzi bungeni, wala hakuwa Kiongozi wa Upinzani Bungeni.
Mkuu, tuache hayo niliyowekea wino mwekundu ambayo naona yana tone ya maslahi binafsi zaidi.....Chadema yenyewe itanufaika na nini kama chama???

Halafu umem-single out Zitto kuwa anakimbilia hayo marupurupu....which only goes to prove a point that this role should be assigned to a non-Chadema MP kwa sababu kama eventually Zitto akashindwa halafu akadai amefanyiwa mizengwe (hata kama si kweli), Chadema (and by extension the whole opposition camp) inaweza ikakosa cohesion ndani ya bunge, cohesion ambayo sisi sote tunaomba iwepo kulifanya bunge liweze kulinda maslahi ya taifa more effectively.
Haya mimi nayaongea kwa nia njema kabisa kukisaidia Chadema.
 
Walio nyuma ya Mbowe (wenye chama chao) wao wasiache ushabiki?
Au mnashindwa kumvumilia Zito kwa sababu siyo wa kanda hiyo ya kina Slaa na Mbowe?

Chadema inaanza kuonyesha its true colours mapeema!.
...ukabila, ukanda, undugu, ushemeji, mwanafamilia mwenzetu and other nonsense.

Shut up wee fisadi wahed!

 
I have singled out Zitto kwa sababu ndiye pekee aliyekwisha onyesha kukiwania kiti cha Kiongozi wa Upinzani Bungeni. Kwa kweli alicho kifanya Zitto ni kudai hadharani kuwa anataka kuwa mwenyekiti wa kamati fulani kwenye chama ambayo ina influence kubwa wakati anajua kuwa mwenyekiti wake yupo katika kamati hiyo. Nafikiri Zitto alidhani kuwa wabunge wa upinzani wote wakiwemo akina kafulila na mrema watakaa kikao na kuchagua kiongozi wao!
Sawa mkuu, I see where you are coming from na nimekuelewa. Sasa embu tuachane na hizo mediocrities za hao akina Zitto kwanza.
Wewe binafsi ukiombwa kuisaidia kimawzo Chadema katika situation kama hii utatoa ushauri gani??
 
Naunga mkono hili, limesemwa vizuri sana.
Najua wengi hawatalipenda, but that is the fact. Hata ikiuma.
Chadema walishindwa hata kuchagua wabunge wa viti maalum ikabidi kazi hiyo apewe consultant!
That is raping democracy.

mjinga +mjinga=vichaa. Furaha yenu kuona chadema inavurugika! Lakini hilo halitawezekana kwan chadema co Arusha, co Mbeya co kikoma wala popote ila chadema ni watanzania wote wapenda mageuzi.
 
Walio nyuma ya Mbowe (wenye chama chao) wao wasiache ushabiki?
Au mnashindwa kumvumilia Zito kwa sababu siyo wa kanda hiyo ya kina Slaa na Mbowe?

Chadema inaanza kuonyesha its true colours mapeema!.
...ukabila, ukanda, undugu, ushemeji, mwanafamilia mwenzetu and other nonsense.

Umetokea shimo lipi, mzee wangu? uelewi Yaonekana huelewi kinachoongelewa hapa!
 
chadema always hakuna demokrasia!!! I bet chama hiki kingeshika nchi hii hata magazeti yangefutwa!

uongozi wa chama, uongozi wa chama my foot!! demokrasia inakuja kwa kushindana kwa kura, mnayoyafanya yanatofauti gani na makame Lewis aliyempa uongozi kikwete??

ebu niambieni CC YA CHADEMA INATOFAUTI GANI NA NEC YA LEWIS???? KUCHAGULIA WATU VIONGOZI HAKUPO, WATU WOTE HUSHINDANA KWA KURA NA SI VINGINEVYO

WANACHADEMA WENGI NI WANAFIKI SANA, WANAHUBIRI DEMOKRASIA ISIYOKUWEPO!!!! @#@%$%@$#%$^%@&^& kama wajinga wajinga eti busara inatakiwa kukilinda chama, PU...VU!!! BUSARA PIA ZIMEFANYIKA KUKIWEKA CCM MADARAKANI?????? hivi hii mijitu inatoka pande gani ya sayari hii, somebody help???

Ule mchuano wa Hilary Clinton na OBAMA ulikuwa na busara gani kulinda chama?? jamani ondoeni ukoko wa ujinga demokrasia is far more than we think!!

Mtu yeyote leo hawezi kufikiria kuwa rais kupitia chadema, simply kwa sababu ya busara za kijinga za wanaonyima haki za wenzao!!



TUKO TUNASUBIRI TUONE!!
Jaribu kuwa na busara tumia maneno yenye hekima tutakuelewa.
 
kwa lusema kweli kabisa mimi binafsi sijaona chango wa Zitto katika kukuza chadema, Zitto hafai kuwa kiongozi wa upinzani bungeni, narudia teana hafai wajameni......
 
zitto hafai kuwa kiongozi wa upinzani bungeni.......ni mbinafsi kupita kasi huyu mtu, ni mropokaji kama nini, anajua kabisa utaratibu wa chama lkn kwa kutaka sifa lazima aende kwenye vyombo vya habari ili tu asikike....
 
Wana JF tuwe constructive, kwa kifupi hakuna vurugu yoyote juu hilo kiongozi wa upinzani bungeni anaeleweka na kuna mwongozo kwa hiyo tusipigane kwa kalamu tutaumizana bure wakati huko Dom ni shwari tu got me right?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom