Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Unadhania Watanzania ni wajinga wanafurahia kuishi kwenye umaskini huku Taifa lao ni rasilimali za kutosha kuondoa umasikini?
Unadhania siasa ni kuzuga na kupumbaza watu?
Unadhania siasa ni kufanya collusion na watawala ili unufaike?
Japokuwa unadhania CHADEMA ni private property lakini ni mali ya umma kwa mujibu wa sheria. Unatakiwa kuiachia na kutuachia Wapinzani wa kweli
Unadhania siasa ni kuzuga na kupumbaza watu?
Unadhania siasa ni kufanya collusion na watawala ili unufaike?
Japokuwa unadhania CHADEMA ni private property lakini ni mali ya umma kwa mujibu wa sheria. Unatakiwa kuiachia na kutuachia Wapinzani wa kweli