Na Rais wa nchi anapotumia ofisi za Ikulu kuendesha mikutano ya Kamati Kuu ya Chama chake utamuita vipi?
Taiga letu linazidi kukosa mtetezi,yaani hat a Mzee Mwanakijiji unatetea upuuzi kwa hoja nyepesi kiasi hicho?
Unataka kuhalalisha makosa ya Mbowe kwa kuwa Raids Wa ccm kakosea? yaani kwa akili zako kosa LA ccm linahalalisha kosa LA chadema?
Kama chadema haitendi tofaufi name ccm sasa inapata wapi ujasili wa kujiita chama cha upinzani?
Kama fikra za chadema kutaka kuongoza nchi huku ikitumia vibaya Mali ya umma ni fikra za kuendeza Yale tunayoyapinga.
Ni Msingi huu unaotufanya kutafuta chama mbadala kitachoteda tofauti name ccm