MUSHI UDOM 08
Member
- Apr 10, 2011
- 10
- 16
Mbowe hafai,anaefaa mjomba,shangazi,shemeji au wifi yako?
Mbowe ndiye tatizo kwa cdm, mnaona jamaa anavyowamaliza wanaompinga, eti kisa anataka aendelee kufanya biashara ndani ya cdm, mnakumbuka magari yake analazimisha atuuzie, anawaondoa wote wanaomkosoa, anawatumia watu tu, wakishamfanikisha anawatupa kama cond..m,huyu jamaa hafai nasikia anataka kuggombea urais ndio maana anafanya mbwmbwe sana na kuwahujumu wenzake,mbowe huna sifa ya kuwa rais wa nchi hii, hata moshi mjini unayotaka ukagombee ubunge utaabika kabisa.
unataka ww uwe juu tu kuliko wengine na huna uimara wa kufikiri, kumbuka ulivyoropoka kwenye bajeti baada ya kikao cha bunge, sikia ulivyoropoka kuhusu madiwani arusha, halafu leo unakuja na ujinga wa kuwakana, nimeongea na wanachama wengi sana wamenipa huu ujumbe nikupe, kama ukimeza wembe umezs tu, hasa huku visiwani hutakiwi kuja kabisa shaurilo ukijipendekeza utaokona.
haya kwa uchaguzi wa cdm 2013 labda uuairishe eti, vinginevyo utaanguka na utashangaa.
tunamkumbuka chacha wangwe sana, tunammis sana msema ukweli wetu sie, kwa nini unagombana na kila mtume ajaye cdm akiwa hakubaliani na wewe mbaba? wewe ni tatizo.
Ndugu hii ni very weak defence.chadema mbona hatuna mwanachama kama wewe? Umetumwa na chenge nini? Mbowe amemfukuza nani? Au unazungumzia shibuda?
Magari si yalishatolewa ufafanuzi na uongozi wa chadema? Mbona unakuwa du.wa.nzi?
Hatuna mwanachama kama wewe so acha uzushi wako hapa.
Mbowe ndiye tatizo kwa cdm, mnaona jamaa anavyowamaliza wanaompinga, eti kisa anataka aendelee kufanya biashara ndani ya cdm, mnakumbuka magari yake analazimisha atuuzie, anawaondoa wote wanaomkosoa, anawatumia watu tu, wakishamfanikisha anawatupa kama cond..m,huyu jamaa hafai nasikia anataka kuggombea urais ndio maana anafanya mbwmbwe sana na kuwahujumu wenzake,mbowe huna sifa ya kuwa rais wa nchi hii, hata moshi mjini unayotaka ukagombee ubunge utaabika kabisa.
unataka ww uwe juu tu kuliko wengine na huna uimara wa kufikiri, kumbuka ulivyoropoka kwenye bajeti baada ya kikao cha bunge, sikia ulivyoropoka kuhusu madiwani arusha, halafu leo unakuja na ujinga wa kuwakana, nimeongea na wanachama wengi sana wamenipa huu ujumbe nikupe, kama ukimeza wembe umezs tu, hasa huku visiwani hutakiwi kuja kabisa shaurilo ukijipendekeza utaokona.
haya kwa uchaguzi wa cdm 2013 labda uuairishe eti, vinginevyo utaanguka na utashangaa.
tunamkumbuka chacha wangwe sana, tunammis sana msema ukweli wetu sie, kwa nini unagombana na kila mtume ajaye cdm akiwa hakubaliani na wewe mbaba? wewe ni tatizo.
Duhhh: Una ID nyingine tena??? Tunajuana vizuri.
Kwa taarifa yako Mbowe atakuwa mwenyekiti mpaka pale atakapoamua mwenyewe kustaafu..
Duhhh: Una ID nyingine tena??? Tunajuana vizuri.
Kwa taarifa yako Mbowe atakuwa mwenyekiti mpaka pale atakapoamua mwenyewe kustaafu.Najua nyie mnafahamu wazi kipangamizi chenu kuivuruga chadema ni Mbowe.Kama ulivyoniambia siku ile mnataka kuweka mtu mwenye njaa ili iwe rahisi kumhonga.Mmechelewa sana!!! Uongozi wa chadema utabaki kama ulivyo mpaka uchaguzi wa 2015 utakapopita,kwa hiyo pa kutokea hamtapata hakika.Mnadhani kwa kudanganya umma Shibuda atakuwa mwenyekiti chadema?? Mngekuwa wajanja msingemwambia Shibuda aanze na gia hiyo,ameshashtukiwa na siku si nyingi anarudishwa alikotoka.
Kumbuka mlitaka kutumia ujanja wa propaganda ili Dr Slaa apewe uenyekiti Chadema halafu mpandikize mtu wenu kwenye ukatibu mkuu ili iwe rahisi kuisambaratisha kama NCCR.Slaa ameshashtukia huo mchezo na sasa mwenyekiti ataendelea kuwa Mbowe mpaka kazi ya ukombozi itakapokamilika.........
Tusubiri tuone.
Mbona magamba mnawatetea mafisadi hadi mjengoni? Mbowe sio size yenu hata kidogo.. Shame on you!km hamjui yy yuko kimaslah zaidi na chunguza zaidi uone jinsi alivyoleta mgogoro kuhusu ruzuku,huyo ndo m.kiti wao cjui akiwa rais itakuwaje atakuwa fisad mara 100
mbowe ni tobwe katika siasa zote na hata siasa za maisha yake ni mtihani, kama hujui utamu wa ndowa ya mkeka kamuulize samwel sitta, Werema, na Pinda kwanini Rasimu ya marekebisho ya kuundwa kwa tume ya Maoni ya Katiba ilishindwa kuwasilishwa Bungeni? ilizuwiwa na hao unaowaita majitaka, sio nyie mambumbumbu msio elekea kwa lolote nyuma pensli mbele hakujulikani.amiii mbona waleta taarabu atiiii, wewe si ulitaka kugombea chukua fomu amii acha longolongo za kimagamba atii.
huko visiwani hakuna upinzani baada ya ndoa ya mkeka na tunaomba mtuachie siasa zetu za bara kwani nasi tumewaachia siasa za maji taka visiwaniatii.
usilete matusi hapambowe ni tobwe katika siasa zote na hata siasa za maisha yake ni mtihani, kama hujui utamu wa ndowa ya mkeka kamuulize samwel sitta, Werema, na Pinda kwanini Rasimu ya marekebisho ya kuundwa kwa tume ya Maoni ya Katiba ilishindwa kuwasilishwa Bungeni? ilizuwiwa na hao unaowaita majitaka, sio nyie mambumbumbu msio elekea kwa lolote nyuma pensli mbele hakujulikani.
zitto kuutaka urais?haungwi mkono hakuna wabunge wanaomtaka hawana imani naye ndiyo maana tulitaka kumfukuza kule bagamoyo.hoja ya ujana na umri wa miaka 35 unapigiwa kampeni kwa nguvu zote kule na mmojwapo bila kuficha.hebu makamanda rudini kule muweke mambo sawa,mimi majukumu yamenibana.Wabunge wote vijana wamekasirika sana hatua hii ya zitto isipokuwa washirika wake ambao ni wabunge wasio na fadhila kwa chama na hawajui slaa na mbowe kakifikisha chama hapa kilipo
kumbe umeshamjua?Magamba ni wapuuzi sana.fukuzeni mafisadi wenu.achaneni nao makamanda wote wa chadema hamieni kwenye ile thread nyingine kule.kuna mchango mkali sana kuna mtu anapotosha watu kule na inaelekea ameshawishi wengi kwa sababu napata PM nyingi mno.twendeni kule tafadhali na nimemuomba moderator afunge ile thread lakini hawafungihttps://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/152109-zitto-kikwete-anataka-rais-ajaye-awe-kijana-kama-mimi.html
Amelewa au amewalewesha ndo mana hamtak kuckia ukweliamelewa huyu!