km hamjui yy yuko kimaslah zaidi na chunguza zaidi uone jinsi alivyoleta mgogoro kuhusu ruzuku,huyo ndo m.kiti wao cjui akiwa rais itakuwaje atakuwa fisad mara 100
Kwa sasa hivi Mbowe ni fisadi mara ngapi?! Inamaana serikali ya Tanzania haichukui hatua kwa mafisadi?Mbona Mbowe anapeta mtaani.