amii kumbe mpo wengi humuu,sio mbaya kwani hili ni jamvi la wote ila na wee mbona hueleweki atiimbowe ni tobwe katika siasa zote na hata siasa za maisha yake ni mtihani, kama hujui utamu wa ndowa ya mkeka kamuulize samwel sitta, Werema, na Pinda kwanini Rasimu ya marekebisho ya kuundwa kwa tume ya Maoni ya Katiba ilishindwa kuwasilishwa Bungeni? ilizuwiwa na hao unaowaita majitaka, sio nyie mambumbumbu msio elekea kwa lolote nyuma pensli mbele hakujulikani.
ni mbinafsi kuliko nani ndani ya ccm?Hizi ni hasira za mkizi,
Jamaa kasema ukweli, kwa kuwa hutaki kuusikia ndo maana unasema hivyo, lakini ni kweli mbowe hafai hata ujumbe wa nyumba kumi maana anaubinafisi mkubwa sana, tatizo watu wengi mnapenda kuwa washabiki tu wa watu ambao hamuwajui na kuwafahamu kwa undani.
Na kama hayo yangekuwa yamesemwa na mtu wa CCM.......!!
usiseme wana cdm sema hata mods kumbe wana uchungu na nchi?Jamani mimi sikujua kuwa hata moderator wetu wanaside upande fulani wa kisiasa hasa linapokuja suala vyama.
maana hapa zimetumwa threads zenye maandishi ya kijani, wala hatukuziona hewani, hiii ikanihakikishia kuwa jf ni ya CDM,
tuna wasi wasi hata hii itafutwa baada ya muda mfupi ujao....!
hongera mr moderator wa jf kwa kumonita na kuzikanselia mbali threads kutoka chama kisichokuhusu na usichokipenda...!!
Mbowe ndiye tatizo kwa cdm, mnaona jamaa anavyowamaliza wanaompinga, eti kisa anataka aendelee kufanya biashara ndani ya cdm, mnakumbuka magari yake analazimisha atuuzie, anawaondoa wote wanaomkosoa, anawatumia watu tu, wakishamfanikisha anawatupa kama cond..m,huyu jamaa hafai nasikia anataka kuggombea urais ndio maana anafanya mbwmbwe sana na kuwahujumu wenzake,mbowe huna sifa ya kuwa rais wa nchi hii, hata moshi mjini unayotaka ukagombee ubunge utaabika kabisa.
Unataka ww uwe juu tu kuliko wengine na huna uimara wa kufikiri, kumbuka ulivyoropoka kwenye bajeti baada ya kikao cha bunge, sikia ulivyoropoka kuhusu madiwani arusha, halafu leo unakuja na ujinga wa kuwakana, nimeongea na wanachama wengi sana wamenipa huu ujumbe nikupe, kama ukimeza wembe umezs tu, hasa huku visiwani hutakiwi kuja kabisa shaurilo ukijipendekeza utaokona.
haya kwa uchaguzi wa cdm 2013 labda uuairishe eti, vinginevyo utaanguka na utashangaa.
Tunamkumbuka chacha wangwe sana, tunammis sana msema ukweli wetu sie, kwa nini unagombana na kila mtume ajaye cdm akiwa hakubaliani na wewe mbaba? wewe ni tatizo.
Mbowe ndiye tatizo kwa cdm, mnaona jamaa anavyowamaliza wanaompinga, eti kisa anataka aendelee kufanya biashara ndani ya cdm, mnakumbuka magari yake analazimisha atuuzie, anawaondoa wote wanaomkosoa, anawatumia watu tu, wakishamfanikisha anawatupa kama cond..m,huyu jamaa hafai nasikia anataka kuggombea urais ndio maana anafanya mbwmbwe sana na kuwahujumu wenzake,mbowe huna sifa ya kuwa rais wa nchi hii, hata moshi mjini unayotaka ukagombee ubunge utaabika kabisa.
Unataka ww uwe juu tu kuliko wengine na huna uimara wa kufikiri, kumbuka ulivyoropoka kwenye bajeti baada ya kikao cha bunge, sikia ulivyoropoka kuhusu madiwani arusha, halafu leo unakuja na ujinga wa kuwakana, nimeongea na wanachama wengi sana wamenipa huu ujumbe nikupe, kama ukimeza wembe umezs tu, hasa huku visiwani hutakiwi kuja kabisa shaurilo ukijipendekeza utaokona.
haya kwa uchaguzi wa cdm 2013 labda uuairishe eti, vinginevyo utaanguka na utashangaa.
Tunamkumbuka chacha wangwe sana, tunammis sana msema ukweli wetu sie, kwa nini unagombana na kila mtume ajaye cdm akiwa hakubaliani na wewe mbaba? wewe ni tatizo.
Naona unawaza kwa kutumia makamasi badala ya ubongo,haya nenda kachukue posho kwa NAPE.Nina mashaka na ma great thinker wa humu ndani.... ivi si hata baba wa taifa alikataza biashara na siasa.. sasa iweje watu wengi humu ndani wasimpongeze huyu jamaa kwa hii very good post.. Mbowe ni mfanya biashara... hatufaii.. watu mnakuwaje vipofu namna hii...
Nina mashaka na ma great thinker wa humu ndani.... ivi si hata baba wa taifa alikataza biashara na siasa.. sasa iweje watu wengi humu ndani wasimpongeze huyu jamaa kwa hii very good post.. Mbowe ni mfanya biashara... hatufaii.. watu mnakuwaje vipofu namna hii...
Naona unawaza kwa kutumia makamasi badala ya ubongo,haya nenda kachukue posho kwa NAPE.
eti miss parliament/ Regiazitto kuutaka urais?haungwi mkono hakuna wabunge wanaomtaka hawana imani naye ndiyo maana tulitaka kumfukuza kule bagamoyo.hoja ya ujana na umri wa miaka 35 unapigiwa kampeni kwa nguvu zote kule na mmojwapo bila kuficha.hebu makamanda rudini kule muweke mambo sawa,mimi majukumu yamenibana.Wabunge wote vijana wamekasirika sana hatua hii ya zitto isipokuwa washirika wake ambao ni wabunge wasio na fadhila kwa chama na hawajui slaa na mbowe kakifikisha chama hapa kilipo
mti wenye matunda siku zote ndio unaopigwa mawe! Hakuna kama mbowe!