HAPANA MBOWE ALICHOSEMA NI KWELI MASHA ALIKUWA HANA MSAADA WOWOTE KWA CHADEMA YA SASA SIO CHADEMA YANGU YA ZAMANI YA DR SLAA MANA YA SASA LAZIMA UITUKANE SERIKALI,MTUKANE JPM,MASHA HAKUA ANATUKANA NDO MANA ANAMBIWA HAKUA NA MSAADA WOWOTEuchaguzi wa TLS?? masha did well
insipiration to new members..
mbowe akae kimya, kuna siku atahama.na yy wenzake watasema alikuwa mzigo
Cha ajabu nini? This is politics. Ndio maana hata Nyalandu alipohama, ccm nao walianza kumnanga kwamba ni fisadi! This is politics kaka! Siasa sio dini, sio sawa na kuhubiri injili! Nadhani umenielewa, pambaf!
Mmeulizwa TLS ni CHADEMA?
Hilo swali Ufipa hawawezi kukujibu!Mkuu mimi najiuliza mtu ambaye hakuwa na msaada ndini ya chama,ilikuwaje,mara mbili jina lake likapelekwa kwenye bunge la jamuhuri,ili akapigiwe kura ,awe mbunge wa Afrika Mashariki?
Hata pale nafasi hizo ZILIPOJAZWA NA AKINA MAMA Mh Mbowe alilalamika bungeni,kuhusu kuchaguwa watu kishabiki bila kuangalia uwezo wa tatu waliopelekwa mbele ya bunge kupigiwa kura.
Hivi tafsiri sahihi ya mchango wa mtu ni nini,mali? Hekima?Ushauri?maono?
Kwa nijuavyo kila mtu amepata karama yake,kwa ujumla kwa karama zote,ndipo mambo yanaenda.Wamasiasa tujifunze kukaa kimya,pale unapoona huna haja,ya kukubali wala kukataa. SI MNASEMAGA NO COMMENT kisha huyo unasepa zako?
basi sawaAs presently constituted, yes.
TLS is CHADEMA.
Mimi sijawahi kuwa Chadema na haitotokea iwe hivyo.ndio nimejua leo!! kumbe tuko wengi afadhali bana
hata MTAZAMO sio muumini wa vyama
Ni mbumbu huyoKwani TLS ni Chadema?au nimekuelewa vibaya?
SUBIRI AKIHAMA maana na yeye kayasema hayo baada ya huyo kuhama si nawepia si ndio umesema hivyo etimbowe akae kimya, kuna siku atahama.na yy wenzake watasema alikuwa mzigo
Anayesema Cdm ni Tls ana punje ndogo ya ubongoKwani TLS ni Chadema?au nimekuelewa vibaya?
Ni shida mkuu. Wenyewe wanasema: CCM ni mtambo wa kuzalisha mafisadi na CHADEMA ni friza la kuhifadhia mafisadi. Yaani mafisadi yanapikiwa huku halafu yanakwenda kuhifadhiwa huko... Mianasiasa !!!Tutafika Tu,mtu akihama CCM kwenda upinzani alikuwa fisadi,akihama upinzani anakuwa ni mtu ambaye hakuwa na msaada,aliyesema siasa ni mchezo mchafu hakukosea.
Mimi sijawahi kuwa Chadema na haitotokea iwe hivyo.
Ila nachukizwa tu na madhira tuliyosababishiwa kama Taifa tena kwa makusudi na hawa ccm.
Watu wenye akili hatuhitajiki kwenye vyama, Idiots is those people who call themselves politician.
Go figure!
Mtu waliyetaka awe mbunge EALA leo wanasema hakuwa na msaada wowote!
Saa ingine ni heri kukaa kimya kuliko kufungua mdomo na kuongea pumba.