Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,955
- 4,329
Muuuhhhh, wachaga bwana: kumbe walitegemea atawapa msaada wa fweza wakaula wa chuya!! Michango ya matibabu ya Lissu hakusaidia cho chote cha maana ukilinganisha na watu kama akina Nyarandu! Hapendwi mtu hapa, kinachopendwa ni pessa yake tu full stop.Lawrence Masha hakuwa na msaada wowote ndani ya chama hicho.