Msabaha lk
Member
- Apr 21, 2012
- 84
- 21
nipo hapa mwanhuzi makao makuu ya wilaya naona vijana wa M4C wanashughulika kuhakikisha mkutano wa mwenyekiti mbowe na ugeni mzima wa chadema unatikisa huku kwa wasukuma kila mtu ana hamu ya kuiona timu hiyo CCM hoi huku. mji wote nasikia peoples power