Rufiji
Platinum Member
- Jun 18, 2006
- 1,881
- 941
Mimi nimechoka kabisa ...Mkapa, as well as his ministers, ought to be prosecuted. This is preposterous, KADCO will be around for twenty five years and our government will collect only $ 25,000. Thanks Wananchi for electing these selfish and corrupt politicians; chicken are now coming home to roost, so Wananchi shouldn't complain!
"Akijibu maswali haya, Waziri Nundu alisema tangu KIA ilipobinafsishwa mwaka 1998, umekuwa ukiendeshwa na KADCO, ambayo iliingia mkataba wa miaka 25 na serikali. "
"Akijibu maswali haya, Waziri Nundu alisema tangu KIA ilipobinafsishwa mwaka 1998, umekuwa ukiendeshwa na KADCO, ambayo iliingia mkataba wa miaka 25 na serikali. "