Mbowe atajwa sakata la TANESCO

freedom fighter ulitaka asome kiasi gani alafu aende wapi ili kjiendeleza na nini? unaruksa ya kufanya kile ambacho yeye ajafanya.
 
Mbowe namjua ni mtu wa maslahi yeye anaangalia kwanza pesa haya mambo ya chama baadae...safi sana Mbowe.

wewe mwenyewe unapost utumbo humu ili utimize post nyingi na ulipwe kwa maslahi ya tumbo lako
 
HUYU JAMAA ALISOMA MPAKA KIDATO CHA NNE, BAADA YA HAPO AKAJIENDELEZA NA MASOMO YA U _DJ HUKO UK. NAPENDA KUWATAARIFU KUWA HANA ELIMU NYINGINE YEYOTE ZAIDI YA HIYO


Kwa hiyo ...................................................
 
Waongo njia zao ni fupi sana kwani nitaweka hansard ya Bunge kuhusiana na jambo hilo na lilivyojadiliwa Bungeni lengo la mwandishi lilikuwa ni kuwaangamiza wakina Mhando na wenzake kwani kapewa matangazo na Maswi .
 
Ngoja tuisubirie Rai ya kesho alhamisi manake wiki iliyopita hii habari haikuwepo! Nikishaisoma kesho nitaweza kuchangia huu mjadala.
 
habari hii mimi nimeisoma "RAIA MWEMA" na wameeleza vizuri na nitanukuu kwa sehemu kama ifuatavyo....

quote
.....Kwa mujibu wa vyanzo kadhaa vya habari, Mbowe, ambaye ni M/Kiti wa Chadema amekuwa katika mazungumzo yanayotajwa kwenda vizuri ili auziwe mtambo wa kufua umeme unaoitwa Kikuletwa ulioko katika jimbo la Hai ili baada ya kununua aweze tena baadaye kuiuzia umeme Tanesco kama inavyofanyika kwa kampuni nyingine za uwekezaji nchini ambazo kwa muda sasa zimekuwa zikitajwa kuuza umeme kwa bei kubwa.
RAIA MWEMA haikufanikiwa kumpata Mbowe kusikia maelezo yake, lakini mmoja wa wa viongozi wa kurugenzi za chama hicho, John Mrema, amemweleza mwandishi wetu kuwa anayetaka kununua mtambo huo si Mbowe binafsi bali ni Halmashauri ya Wilaya ya Hai.
"Mbowe kama mbunge alikuwa akisaidia kufanikisha hilo. Mpango uliopo ni kununua mtambo huo wa siku nyingi ambao hautumiki na kuukarabati na kisha kuanza kuzalisha umeme ambao sehemu itatumiwa na wananchi wa Hai na kiasi kingine cha umeme kitauzwa Tanesco" alisema Mrema.

unquote

hapo kwenye blue..inaonyesha ni kweli mbowe ana maslahi tanesco kuhusiana na project hii lakini si kwa ajili yake binafsi...ni kwa ajili ya wananchi wake jimboni. which makes a massive difference from wale wengine akina nanihii ambao azma yao ni kunenepesha mifuko (sijasema matumbo!) yao binafsi!!
 
wa2 wa ccm hata mseme nini maji yamezidi unga,hamna lolote.vijana wameamka sasa hawadanganyiki kabisa wanajua la kufanya sasa.piga chini ccm kama nyoka apigwaye kichwa.ee mungu tunaomba uwape uwelewa wananch wa tz ili waweze kufanya lile zuri likupendezalo,amina.vunja vunja nguvu za mafisadi,wezi
 
BUNGE LA TANZANIA

______________
MAJADILIANO YA BUNGE

_____________

MKUTANO WA NNE

Kikao cha Arobaini na Sita – Tarehe 13Agosti, 2011


(Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi)

DUA


Spika (
Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua



MHE. FREEMAN A. MBOWE:
Mheshimiwa Spika, Kikuletwa Power Station – Kijiji cha Chemka,Kata ya Masama Rundugai - Wilaya ya Hai, inayomilikiwa na TANESCO imefungwa siku nyingi na mali zake zikiwemo nyumba, ardhi, mashine na miundombinu ziko katika hali mbaya. Nahitaji kujua ni lini station hii itafunguliwa/kufufuliwa. Aidha, ni vipi uwezekano wa station hii kukabidhiwa Halmashauri ya Wilaya ya Hai kwa ajili ya kuendelezwa/kufufuliwa kwa kushirikiana na REA?

Mheshimiwa Spika, umeme Wilaya ya Hai. Miradi ya Wilaya hii imekwama katika hatua mbalimbali. Bajeti ya Wizara haionyeshi fungu lolote kwa mradi wowote wa Wilaya ya Hai. Miradi iliyo katikati itafanywaje? Miradi ambayo haijaanza itaanza lini? Miradi ya Wilaya ya Hai ambayo imekwama ni kama ifuatavyo:-
(a) Miradi ya Umeme Iliyofika Nusu.
(i) Losaa Kitongoji cha Mungu Amaye - Mradi unaendelea, nguzo tayari zimewekwa bado waya.
(ii) Bomang'ombe – Kingereka - Mradi unaendelea, nguzo ndogo 60 pamoja na transfoma mpya tayari bado waya.
(iii) Fiderisi - Nguzo 17 zimewekwa, mradi unaendelea bado waya.
(iv) Masama Mashariki – Monjulu - Mradi mdogo nguzo 30, bado waya.
(v) Kware Korongoni - Nguzo 30 zimewekwa, mradi unaendelea bado waya.
(vi) Kawaya - Nguzo 12 tayari zimewekwa, mradi unaendelea bado waya.
(vii) Bomang'ombe Uzunguni - Nguzo 17 zimeshapelekwa bado hazijasimamishwa, bado waya.
(viii) Mroma – Ufishi - Nguzo 10 zimewekwa, mradi unaendeleam bado waya.
(ix) Kitifu – Kwa Sadala - Nguzo 24 tayari mradi unaendelea bado waya.
(x) Tema – Masama Mashariki - Nguzo 28 tayari, mradi unaendelea bado waya.
(xi) Lemira Kati - Nguzo 19 tayari mradi unaendelea, bado waya.
(b) Miradi ya Tanesco iliyo kwenye Mpango
(i) Machame Ndernyi A – Nguzo 10 pamoja na waya na transifoma.
(ii) Machame Ndernyi B - Nguzo 10 pamoja na waya.
(iii) Uswaa – Mbweera - Nguzo 24 na waya.
(iv) Kia Junction - Nguzo 15 na waya.
(v) Kwa Sadala - Nguzo 24 na waya.
(vi) Bomang'ombe Gezaulole - Nguzo 12 na waya.
(c) Miradi Iliyokwama Kupitishwa Kutokana na TANESCO Kushindwa Kumudu Gharama
(i) Lemira – Isuki – Kirumbiu - Nguzo 40, transfoma moja na waya.
(ii) Tema Juu - Transfoma moja ipo nguzo na waya bado.
(iii) Uboro - Nguzo 30, transfoma na waya.
(iv) Mbosho Parish - Nguzo 60 zilihitajika zimepelekwa nguzo 30 na waya, bado nguzo 30 na waya.
(v) Bomang'ombe – Magadini - Nguzo 40 transfoma moja na waya.
(vi) Kwa Somali - Nguzo 30 transfoma moja na waya.
(vii) Mungushi – Kambi ya Maziwa kuelekea Sanya Juu - Nguzo 40 transfoma moja na waya.
(viii) Chemka – Ngulu - Nguzo 30 na waya.
(ix) Longoi – Nguzo Nne - Nguzo 70 transfoma na waya.
(x) Ngosero - Nguzo 80 transfoma na waya.12
(xi) Bomang'ore Kwa Kiriwe - Nguzo 60 transfoma na waya.
(xii) Roo Secondary - Nguzo 40 transfoma na waya.
(xiii) Mashua - Nguzo 60 na waya.
Mheshimiwa Spika, maeneo mengi yenye miundombinu ya umeme sasa imechakaa sana na nyaya za umeme nyingi ni wazi (yaani haziko
insulated) na kwa hali ya uoto wa sehemu za milimani nyaya hizi hupita katikati ya migomba na miti. Mimea hii sehemu nyingine husababisha


Short Circuit
na hivyo kuongeza tatizo la kukatika kwa umeme mara kwa mara. Aidha, mara

kadhaa nyaya hizi zimesababisha vifo au majeraha makubwa kwa wananchi. Ni lini TANESCO
itaanza ukarabati wa miundombinu hii?

MHE. MAGDALENA H. SAKAYA:
 
Tatizo ukivurugaga dozi yako ya arv ndo hua unapost ujinga ka huu magamba wa kike wee
 
Niliwahi fika pale kikuletwa mara kadhaa! Ilikua ni hydro power ya zamani na kwa sasa haitumiki!! Na sote tunajua kuwa Tanesco na vyanzo vyao havitoshelezi mahitaji thus why hata kiwanda cha sukari Moshi TPC wanawauzia umeme Tanesco ambao hao hao TPC walikuwa wateja wa Tanesco before tena walikua largest power users wa mkoa wa Kilimanjaro but walipofunga plant yao ya kutumia mabaki ya miwa wakajitoa Tanesco na kuanza kutumia umeme wanaozalisha wao wenyewe na ule uliozidi waliiuzia Tanesco!

So mie naona ni jambo jema kabisa kwa Mbowe au Halmashauri ya wilaya ya Hai kukifufua kile kituo na kuizia power Tanesco coz si tu wataongeza umeme kwenye Grid bali pia kile kituo kitao ajira kwa vijana! Au mnataka umeme wauze IPTL, SONGAS, AGRECO nk kadhilika na akiuza mzawa basi inakua shida??? Ifike mahala siasa zisitawale mawazo yetu
 
hivyo ni kweli Chadema na watu wake wote wako safi? Kwa sababu kila kinachoelezwa kuhusu CDM watu humu ndani wanaandamana kwa maneno makali.mi nnachokiamini ktk maisha kukosea kupo na ndio maana tukaambiwa hakuna aliyekamilika.ila unapokuja ktk hoja za cdm ni hatari kwa utetezi.CCM wanaharibu na CDM pia wanaharibu baadhi ya mambo wanayoyafanya ila tu CCM inaonekana kwa sababu ndio imeshika nchi.kumbukeni hata gadaffi alikua poa ila baadhi ya wananchi wake wakamwona shetani.mi nadhani kwenye ukweli tukili. Sio kwa hili ila hata ikitokea pa kusema kweli tuseme na ndio tutajenga nchi yetu vzur.mungu ibariki TZ na watu wake.

Hapa tunajadili hoja iliyoletwa jukwaani na kimsingi haina mashiko. Imekaa kama habari ya udaku. Ndio maana wadau wanaiponda. Kama unalingine liweke hapa tujadili na sio kugeneralise mambo!
 
HUYU JAMAA ALISOMA MPAKA KIDATO CHA NNE, BAADA YA HAPO AKAJIENDELEZA NA MASOMO YA U _DJ HUKO UK. NAPENDA KUWATAARIFU KUWA HANA ELIMU NYINGINE YEYOTE ZAIDI YA HIYO


Hao unaowafahamu waliosoma mpaka kuitwa Maprofesa wamelisaidia nini Taifa? si ndo hao hao wachakachuaji? Bora hata huyu aliyesomea Udj, amewasaidia watanzania kutambua haki zao, na ndo maana Watanzania wanamwamini. Pili, Katiba ya Nchi inasemaje kuhusu elimu ya Viongozi?. Inataka mtu awe anajua kusoma na kuandika. Laiti ingetamka kuwa ili kuwa kiongozi lazima uwe Dr. au Prof, naamini hakuna hata Mkulu mmoja kati ya waliopita magogoni ambaye angekuwa amekidhi matakwa ya kutuongoza, maana wote hawakuwa na hawana elimu hiyo, labda walizopewa kama zawadi.:argue:
 
habari hii mimi nimeisoma "RAIA MWEMA" na wameeleza vizuri na nitanukuu kwa sehemu kama ifuatavyo....

quote
.....Kwa mujibu wa vyanzo kadhaa vya habari, Mbowe, ambaye ni M/Kiti wa Chadema amekuwa katika mazungumzo yanayotajwa kwenda vizuri ili auziwe mtambo wa kufua umeme unaoitwa Kikuletwa ulioko katika jimbo la Hai ili baada ya kununua aweze tena baadaye kuiuzia umeme Tanesco kama inavyofanyika kwa kampuni nyingine za uwekezaji nchini ambazo kwa muda sasa zimekuwa zikitajwa kuuza umeme kwa bei kubwa.
Inavyoonekana, hii mitambo ya IPTL, DOWANS na wazalishaji umeme wengine wote nishati ya kuendesha mitambo yao inagharamiwa na TANESCO. Hii imefanywa kwa makusudi na viongozi wetu waroho na kusababisha gharama za umeme kuwa juu sana. Huu ni ufisadi unaotakiwa kupingwa kwa nguvu zote iwe wanaotaka kutufisadi ni Halmashauri ya Hai au Mbowe mwenyewe. TANESCO wanashindwa nini wenyewe kuzalisha umeme wakati wana itambo hadi waununue kwa Mbowe au Halmashauri?
 
Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni Freeman Mbowe ametajwa kuwa katikamazungumzo na Tanesco ya kuuziwa mtambo wa kufua umeme unaoitwa KIKULETWA ulioko hai, Ili baada ya kununua aweze tena kuizia umeme Tanesco, Hata hivyo mbowe hakupatika kuthibitisha hilo lakini John mrema mkurugenzi wa Chadema Sera na Bunge amesema si kweli kuwa Mbowe alitaka kununua bali halimashauri ya hai ndiyo wapo kwenye mpango huo na Mbowe kama mbunge alikuwa akifanikisha hilo.
Gazeti la Rai la Leo.
Kweli wewe umeamkia pombe au akili yako ni kama yule aliyekamatwa na Kova. Eti gazeti la RAI la leo! leo jumatano kuna gazeti la Rai?
 
HUYU JAMAA ALISOMA MPAKA KIDATO CHA NNE, BAADA YA HAPO AKAJIENDELEZA NA MASOMO YA U _DJ HUKO UK. NAPENDA KUWATAARIFU KUWA HANA ELIMU NYINGINE YEYOTE ZAIDI YA HIYO
Wewe uliye na elimu umeifanyia nini Tanzania zaidi ya Kutumika kama kibaraka wa Nape?
 
http://www.secsd.com/tanz/Kiku1.htm


KIKULETWA HYDROPOWER DEVELOPMENT FOR TANZANIA
COUNTRY: TanzaniaREGION: KilimanjaroCAPACITY: 17MW
Click to go back to Main PageCLIENT: IBRDENERGY: 100GWh
SECSD performed the task of Identification, Planning, Design and preparation of pre investment reports for a series of hydropower plants in four regions of United Republic of Tanzania for The International Bank for Reconstruction and Development (IBRD). On Kikuletwa river in Kilimanjaro region four plants were identified and pre-investment reports prepared.
The project is located on the Kikuletwa river in northern Tanzania at the foot of the world famous Mount Kilimanjaro near the towns of Arusha and Moshi. The Kikuletwa river is a tributary to the Pangani river and is fed by snow melt from the peaks of Mount Kilimanjaro which is a world famous tourist center.
kiliman2.JPG
PLAINS OF KILIMANJARO
kik-pl1.gif
SECSD was involved in planning new stations downstream of the closed Kikuletwa 1 power station till the confluence with Nyumba ya Munga reservoir. This reach was proposed earlier to be developed by JICA with a single stage development with 4km long canal but the implementation cost was very high.
PLAN OF KIKULETWA WITH JICA DESIGN & SECSD ALTERNATIVE
SECSD engineers in an innovative approach have reduced the proposed 4000m water conductor system to only 450m without any sacrifice in the power and energy output as conceived by JICA. This resulted in a substantial reduction of the implementation cost and construction period. As a result of investigations, two further sites for mini hydropower of 2MW each have been identified within the original reach contemplated earlier.
Kik-ls1.gif
LONGITUDINAL PROFILE OF KIKULETWA WITH PLANNING
Kik-shpl1.gif
This is shown in the river profile and plan above. The project is also suitable for private sector participation due to reduced cost.One of the features involves a shaft type power house for stage three power house located in the bank of the river and standardized design for the stage-1 rehabilitation and stages 3 and 4.
SHAFT TYPE POWER HOUSE
As the area is now supplied by grid which runs for nearly 300km from the Mtera power station, implementation will reduce losses and demand of Moshi town will be entirely met by stage 3. The table on the right shows the projects in the cascade development. The stage-2 scheme cost was reduced from estimated US$ 40 million to US$12 million due to the reduction in water conductor system by 90%.
KIKULETWA RIVER CASCADE DEVELOPMENT
PROJECTQ
(m3/s)
Head
(m)
Power
(kW)
Energy
(GWh/yr)
STAGE-1
20
13
2 x 1000
11.8
STAGE-2
20
12
2 x 1000
11.8
STAGE-3
20
65
2 x 5500
65.0
STAGE-4
20
12
2 x 1000
11.8
TOTAL
17,000
100.4
kiku21s.jpg
Examination was also done for rehabilitation of the closed down power station on the Kikuletwa river built by German missionaries at the turn of the century.
kiku20s.JPG
OLD KIKULETWA-1 STATION
POWER HOUSE
Copyright 2002 SECSD Private Limited
SECSD reserves all rights to the project planning, design and information presented herein. The designs may not be adapted or reproduced or utilized in any form without permission. This website is entirely Designed, Developed and maintained by SECSD. No part of this website or its contents may be reproduced. For Details contact webmaster

 
Yaser tutajenga si kwa mtindo wa sisiem.Unaweza ukasema yanayotokea Libya ni kweli inaonesha kuwa watu wale walikuwa wamenyanyasika sana kila mtu baada ya Gadafi kuondoka anaona ni wakati wake naye. Mbona hayo sijayasikia kule Tunisia kwenye mwanzo wa vuguvugu la mageuzi? Watu wana hasira na jamaa hao wa sisiem, ni lazima waende.
 
Back
Top Bottom