Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Take this..........it will do you good.
Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni Freeman Mbowe ametajwa kuwa katikamazungumzo na Tanesco ya kuuziwa mtambo wa kufua umeme unaoitwa KIKULETWA ulioko hai, Ili baada ya kununua aweze tena kuizia umeme Tanesco, Hata hivyo mbowe hakupatika kuthibitisha hilo lakini John mrema mkurugenzi wa Chadema Sera na Bunge amesema si kweli kuwa Mbowe alitaka kununua bali halimashauri ya hai ndiyo wapo kwenye mpango huo na Mbowe kama mbunge alikuwa akifanikisha hilo.
Gazeti la Rai la Leo.
Mkuu tamuchungu ulisha acha kupumuliwa kisogoni?
RAI= Rostam Aziz Igunga
Ingekuwa kusoma ndiyo uongozi leo leo hii usingemjua mtu anayeitwa Zuma, Rais wa Afrika Kusini. Niwekee hapa hata shule ya Sekondari aliyoosma au chuo. NI hakuna lakini anawaongoza mamilioni ya wasomi. Uongozi ni kipaji elimu huongezea uelewa zaidi. Na hata hapa Tanzania Kikwete ana shahada ya uchumi lakini kashindwa kumfikia Mkapa ambaye yeye ni mwandishi na aliupaisha uchumi wa Tanzania. Lakini hata wasomi wa Tanzania waliowengi ndo waliotufikisha katika umaskini. Jitahidi unapochangia kufikiri kwanza.
Watatafuta hadi mchicha wajishikilie wasiende na maji, but where!
Hiyo habari wala haina tuhuma, na wala haichekeshi..sijui uliiweka isaidie nini?
Mtambo wa kikuletwa, mbalizi, na tosamaganga iltangazwa wazi kuuzwa kwa tenda, kwani kama mbowe akinunua kwa njia za wazi kuna ubaya gani? Ni mitambo ya kufua umeme lakini ilikuwa dormant kwa kuwa imechakaa
Tatizo ukivurugaga dozi yako ya arv ndo hua unapost ujinga ka huu magamba wa kike wee
Hawa waandishi wa gazeti la rai nadhani huwa wana vimatatizo kwani mara nyingi huwa hawana ukweli wao kupondea upinzani