habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,739
katika uchuguzi kuna vyama vinapata hasara wakati wa kampeni ila mwenyekiti wa chadema amenufaika kwa kuuza chama mbowe kwa lowasa.
pamoja na nguvu ya wanachama wa
chama hicho.
sasa biashara imefanyika tunataka
kodi.
rais magufuli kishatoa notis siku
saba kwa wakwepaji kodi kulipa
Peleka ujinga wako huko