mbona mi Sipati

stevoh

JF-Expert Member
Dec 5, 2011
2,921
1,104
daah! Mpaka nimechoka yan nimetafuta wa kunliwaza na kunituliza moyo nimekosa nifanyeje!
 
hiyo thread yako ulivyoiandika tu inaonesha u r not serious. tuheshimu jukwaa jamani.
 
hiyo thread yako ulivyoiandika tu inaonesha u r not serious. tuheshimu jukwaa jamani.

jaman jaman hivi kweli kuna watu hawapendi maendeleo yangu umenijaji vip ukajua sipo serious?
 
jamaa ingia jukwaa la mwisho kwa kaka kimbweka halafu nyetuka fasta utafarijika hakuna gharama yoyote juu ya hilo..see you later..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom