nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Nchi yetu tukufu ya Tanzania ina raia wanye asili ya kihindi na wasomali, lakini jambo la kishangaza ni kuwa sijawahi kuona mwanachama wa CDM mwenye asili ya kihindi au msomali. Je ni makusudi ya CDM au imetokea kwa bahati mbaya.?
Haukumbuki walikuwa wanae Mmoja wa Kigoma KUSINI pia alikuwa anashiriki HOJA za TIDO MHADO TANZANIA TV; LAKINI
AKASHINDWA NA MBUNGE WA CCM? NI DEMOKRASIA KUSHINDWA.... ANAITWA MUSLIM HASSANALI
ACHA FITINA...