palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,455
Mkuu kuinyofoa ama kutokuinyofoa haina maana kama habari yenyewe ni ya ukweli ama hata kama si ya kweli,basi cha muhimu ni ku hesabu hizo siku 100 walizotowa.
Haya ya Mbeya bado sidhani kama yana uhusiano wowote na hawa watu.
However wananchi wamekuwa very desparate na siwezi kushangazwa kama kuna some orgnaization ya hata wanajeshi waliochoshwa.
Huwezi juwa watu wamevaa kiraia bado.
habari ninayo sema ni hiyo ya mwakyembe kulishwa sumu