Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Uchaguzi CDM haupo mwendo ni Zimbabwe staili au kagame stail au mseveni stail au hata Angola stail Mbowe atakuwa M/kiti hadi anakuwa kikongwe kumbuka CDM ni Chaga manfesto development Makabila mengine hawana nafasi ya Mwenyekiti wakijaribu wataishia kwenye cc tu inakuwa mwisho
katibu wa chadema ni mchaga, je makamu mwenyekiti, je unaweza kuniambia nani alikuwa mwenyekiti chadema na alitoka mkoa gani, je unakumbuka katibu wa chadema jabla ya dr slaa .