Mbatia kidedea NCCR

Uchaguzi CDM haupo mwendo ni Zimbabwe staili au kagame stail au mseveni stail au hata Angola stail Mbowe atakuwa M/kiti hadi anakuwa kikongwe kumbuka CDM ni Chaga manfesto development Makabila mengine hawana nafasi ya Mwenyekiti wakijaribu wataishia kwenye cc tu inakuwa mwisho

katibu wa chadema ni mchaga, je makamu mwenyekiti, je unaweza kuniambia nani alikuwa mwenyekiti chadema na alitoka mkoa gani, je unakumbuka katibu wa chadema jabla ya dr slaa .
 
Nini Maana ya neno msariti? Mbona Mbowe anapokea pesa nyingi toka kwa wana ccm yeye Mbona haitwi Msariti?mbowe anazitafuna pesa za chama kwa kukibambikia chama madeni feki kisha anajilipa kwa kisingizio eti anakidai chama pesa zake baadae huzitumoa pesa hizo hizo kuwakopesha wana cc ili kuwathibiti wasimguse pindi akienda kinyume na taratibu za chama Ndio Maana pamoja na kashfa zote Mbowe bado analindwa na wana cc ambao ni wafaidika wakubwa wa pesa Binafsi mbowe

Mkuu tafadhali andika Kiswahili ama English nitaweza kukusoma vema...Nasikia kivuli cha Mwenye kina madhara kwani waweza kupata Funza wengi miguuni na hata kwenye makalio! Kigoma kuna miembe? tahadhari chukua hatua...
 
chadema wilayani na mikoani wana hasira sana.hela ya ruzuku inaishia makao makuu tu mikoani wameambiwawajitolee chama hakina pesa kweli wajinga ndio waliwao

Mbowe ni Simba pale Chadema na wanachama wengi ni Nyumbu na pundamlia unategemea nini?mbowe anaogopwa sana tena sana hata cc Pia wanamwogopa kupita kiasi Uchaguzi haupo CDM Simba atawatawala Nyumbu milele
 
Sasa kafulila aliyemuona Mbatia hafai wakati ule mbona hajagombea? hawa watu wa Kigoma ni unafikina uharibifu tu, maana huu ndio ungekua wakati hasa wa Mh Kafulila kuonyesha kile alichokua anakitaka wakati ule chadema na baadae huko NCCR, sio kusubiri wakati mambo yanaenda shwari ndio kuleta hadithi za ajabu,


Mambo yameenda vizuri kwa sababu mshindani hakua na uwezo wa kumshinda,angekua na ushawishi katika chama angeundiwa zengwe kabla ya uchaguzi wenyewe.
 
Inaamana ZZK inabidi asubirie miaka mitano huko, itabidi yeye na kafulila waanzishe mabadiliko 2014 wamtoe Mbatia ama waanzishe Chama chao.

Mkuu Zitto hana subira hiyo! Mpango mkakati wa kuanzisha chama chao kwa msaada wa Green Guard anauratibu Kitila Mkumbo! Nasikia Nyalandu anafungu kutoka USA kwa ajili hiyo...Tuvute subira kidogo...
 
Mkuu tafadhali andika Kiswahili ama English nitaweza kukusoma vema...Nasikia kivuli cha Mwenye kina madhara kwani waweza kupata Funza wengi miguuni na hata kwenye makalio! Kigoma kuna miembe? tahadhari chukua hatua...

Haijalishi neno nililokusudia kukuletea litakuja kwa mandishi gani ninachokijua sasa funza amekung'ata sehemu nyeti Ndio Maana unachachawa nashukulu ujumbe umeupata vyema wewe ni Nyumbu na Mbowe ni Simba Nina Imani unamwogopa sana mbowe
 
Hakuna cha buku 7 wala 8 wala Lumumba kumtuma mtu watu wenyewe siku hizi wameamka watoa mawazo Yao na mitazamo yako kulingana na wanavyoona inafaa

una ubongo wa kuku wewe umejawa na hisia zaidi ya kujenga hoja zenye tija nchi imekaushwa na mijizi ya ccm ambao wote ni wachumia tumbo, leo arusha mmemuhamisha mkurugenzi wa arusha sababu kawabania ten percent mbulula ninyi na mitazamo yenu ya kihafidhina
 
Wana CDM wengi ni Nyumbu kumbuka Mbowe ni Simba sasa jiulize swali ni nani atathubutu kumshinikiza Mbowe aitishe Uchaguzi ? Mbowe atabakia Kuwa M/kiti milele na Milee Nyumbu endeleeeni kuisoma namba
 
Haijalishi neno nililokusudia kukuletea litakuja kwa mandishi gani ninachokijua sasa funza amekung'ata sehemu nyeti Ndio Maana unachachawa nashukulu ujumbe umeupata vyema wewe ni Nyumbu na Mbowe ni Simba Nina Imani unamwogopa sana mbowe
Wakilimbitwaji huwa mnatabia ya kung'ang'ania line moja na kuirudia rudia bila kuchoka... hongera...ILA uzuri ni kuwa CDM ya sasa bila masalia ya wasaliti ni salama kwa maendeleo ya Watanzania...
 
Povu jingi point sifuri. Jibu swali, nani kakulipia nauli?


Kijana why are you writing stupidity things? Who told you that I am Makofila? Are you insane? or difficulties in life make you think and behave this way...

I cannot continuing arguing with a person having simple and soft brain like you.
 
Wakilimbitwaji huwa mnatabia ya kung'ang'ania line moja na kuirudia rudia bila kuchoka... hongera...ILA uzuri ni kuwa CDM ya sasa bila masalia ya wasaliti ni salama kwa maendeleo ya Watanzania...
Usariti upi ? Mbowe anapewa pesa na wana ccm na pesa kazitafuna mwenyewe iweje yeye si msariti ama kweli Nyumbu wapo wengi sana Simba ( Mbowe) atawatawala milele hakuna nyumbu kumsogelea Simba
 
Usultani bado upo tanzania!!!

Ulitaka ashinde nani ndo uweze appreciate?... Tatizo lako ni kujiona kuwa wewe ni bora kwa kila kitu...... Tanzania hatupigi hatua kwa sababu tuna watu wa aina yako wengi......au mlitaka uchaguzi usifanyike to wait ur man(Zitto) to shift into it ili aweze gombea uchair, then muanze mbinu chafu as u did in CDM.....shem on u
 
Back
Top Bottom