Hivi MBATIA anaongelea UKAWA upi?
Utafiti unajibiwa kwa utafiti sindiyo mlivyo sema sasa povu lanini?
Uloi nga mâché68;14104016 said:Matokeo hayo ya Mbatia ni kwa Mkoa wa Kilimanjaro, Arusha na Manyara tu. Kwa Nchi nzima CHADEMA hawana chao!
Mkuu kuna wangese magamba wanakurupuka tu, muda si mrefu nmetoka tena kumsikia mbatiaAcha uongo james mbatia hakusema hivyo. Jana nilisikiliza hotuba yake mwanzo mwisho.
Uloi nga mâché68;14104016 said:Matokeo hayo ya Mbatia ni kwa Mkoa wa Kilimanjaro, Arusha na Manyara tu. Kwa Nchi nzima CHADEMA hawana chao!
Hivi MBATIA anaongelea UKAWA upi?
Subiri ushikishwe ukuta hapo kazi tu nyambav
Wajitokeze basi kupinga na huu wa Synovate