Mbatia atofautiana na Lowassa

Michael Chairman

JF-Expert Member
Apr 11, 2015
922
581
Ni baada ya kuongea na vyombo vya habari kuhusiana na utafiti wa TWAWEZA juu ya uchaguzi mkuu. Mhe LOWASSA akihutubia kwenye mkutano wa jimbo la mtama aliukataa utafiti wa Twaweza nakusema kuwa yeye anasubiri mwamuzi tarehe 25/10/2015 na wala si vinginevyo... katika hali ya kushangaza Mwenyekiti mwenza wa ukawa James Mbatia leo amezungumza na waandishi wa habari kuhusiana na utafiti wa TWAWEZA na kusema kuwa utafiti huo ni feki na wao wanaukawa wamefanya utafiti wa ndani na kugundua kuwa EDWARD LOWASSA atashinda kwa asilimia 74 sasa kwa mantiki hiyo tumuelewe nani kati ya Mbatia na mgombea wa UKAWA Ndugu Edward LowassaView attachment 290780
 
Bado utafiti wa TWAWEZA haujapingwa na CHADEMA, LOWASSA ni CCMB na MBATIA ni NCCR.
 
Katika wajinga, wewe ni mjinga wa uliyebaki shimoni maana hata akili ya kunyanyua mkono usaidiwe huna.
 
Ni baada ya kuongea na vyombo vya habari kuhusiana na utafiti wa TWAWEZA juu ya uchaguzi mkuu. Mhe LOWASSA akihutubia kwenye mkutano wa jimbo la mtama aliukataa utafiti wa Twaweza nakusema kuwa yeye anasubiri mwamuzi tarehe 25/10/2015 na wala si vinginevyo... katika hali ya kushangaza Mwenyekiti mwenza wa ukawa James Mbatia leo amezungumza na waandishi wa habari kuhusiana na utafiti wa TWAWEZA na kusema kuwa utafiti huo ni feki na wao wanaukawa wamefanya utafiti wa ndani na kugundua kuwa EDWARD LOWASSA atashinda kwa asilimia 74 sasa kwa mantiki hiyo tumuelewe nani kati ya Mbatia na mgombea wa UKAWA Ndugu Edward LowassaView attachment 290780
wewe ni mmmmseee.....
 
Uloi nga mâché68;14104016 said:
Matokeo hayo ya Mbatia ni kwa Mkoa wa Kilimanjaro, Arusha na Manyara tu. Kwa Nchi nzima CHADEMA hawana chao!
Utafiti unajibiwa kwa utafiti sindiyo mlivyo sema sasa povu lanini?
 
Ni baada ya kuongea na vyombo vya habari kuhusiana na utafiti wa TWAWEZA juu ya uchaguzi mkuu. Mhe LOWASSA akihutubia kwenye mkutano wa jimbo la mtama aliukataa utafiti wa Twaweza nakusema kuwa yeye anasubiri mwamuzi tarehe 25/10/2015 na wala si vinginevyo... katika hali ya kushangaza Mwenyekiti mwenza wa ukawa James Mbatia leo amezungumza na waandishi wa habari kuhusiana na utafiti wa TWAWEZA na kusema kuwa utafiti huo ni feki na wao wanaukawa wamefanya utafiti wa ndani na kugundua kuwa EDWARD LOWASSA atashinda kwa asilimia 74 sasa kwa mantiki hiyo tumuelewe nani kati ya Mbatia na mgombea wa UKAWA Ndugu Edward LowassaView attachment 290780

Mbatia ni mpiga dili tu ashaona hakuna ushindi so anatafuta popularity ya kuonewa huruma kule vunjo
 
Nyie CCM endeleeni na UZUSHI WENU ILA hata iweje Watanzania tutampigia kura EDWARD LOWASSA,hatudanganyiki tena.
 
Ni baada ya kuongea na vyombo vya habari kuhusiana na utafiti wa TWAWEZA juu ya uchaguzi mkuu. Mhe LOWASSA akihutubia kwenye mkutano wa jimbo la mtama aliukataa utafiti wa Twaweza nakusema kuwa yeye anasubiri mwamuzi tarehe 25/10/2015 na wala si vinginevyo... katika hali ya kushangaza Mwenyekiti mwenza wa ukawa James Mbatia leo amezungumza na waandishi wa habari kuhusiana na utafiti wa TWAWEZA na kusema kuwa utafiti huo ni feki na wao wanaukawa wamefanya utafiti wa ndani na kugundua kuwa EDWARD LOWASSA atashinda kwa asilimia 74 sasa kwa mantiki hiyo tumuelewe nani kati ya Mbatia na mgombea wa UKAWA Ndugu Edward LowassaView attachment 290780

aisee naona labda me ni lofa lakini sijakuelewa. Lowasa aliukataa utafiti wa twaweza kwani mbatia kaukubali uo wa twaweza?
 
Ni baada ya kuongea na vyombo vya habari kuhusiana na utafiti wa TWAWEZA juu ya uchaguzi mkuu. Mhe LOWASSA akihutubia kwenye mkutano wa jimbo la mtama aliukataa utafiti wa Twaweza nakusema kuwa yeye anasubiri mwamuzi tarehe 25/10/2015 na wala si vinginevyo... katika hali ya kushangaza Mwenyekiti mwenza wa ukawa James Mbatia leo amezungumza na waandishi wa habari kuhusiana na utafiti wa TWAWEZA na kusema kuwa utafiti huo ni feki na wao wanaukawa wamefanya utafiti wa ndani na kugundua kuwa EDWARD LOWASSA atashinda kwa asilimia 74 sasa kwa mantiki hiyo tumuelewe nani kati ya Mbatia na mgombea wa UKAWA Ndugu Edward LowassaView attachment 290780

Akili zako zimefikia mwisho wa kufikiria mbona mm sijaona kitu walichotofautiana?
 
Back
Top Bottom