Ernesto Che
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,114
- 293
Kuna haja ya kupitia mfumo mzima wa mafunzo ya jeshi la polisi, Hawajui majukumu yao? Au ouga unawasumbua? Mbona wanakimbilia kufyatua risasi bila hata kujaribu kutuliza ghasia! Hawa jamaa wanatia aibu, Said Mwema naona anataka kumzidi hata Mahita kutotumia akili, alikaa Interpol ndio alifundishwa haya, Shame on you Mwema.... Sioni tofauti ya askari polisi na wanamgambo wa kijiji stupid!