Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
Wana JF,
Nchi imeuzwa, nimeamini sasa. Huko Mbarali, barabara ilifungwa, cha kushangaza tenka la mafuta likapita. Kisha wakaandamana kwa nn linapta. Polisi wakapga risasi wa2 wawili. Sasa wananchi wamenifurahsha, wamechoma hlo TANKER NA KITUO CHA MAFUTA!
Nchi imeuzwa, nimeamini sasa. Huko Mbarali, barabara ilifungwa, cha kushangaza tenka la mafuta likapita. Kisha wakaandamana kwa nn linapta. Polisi wakapga risasi wa2 wawili. Sasa wananchi wamenifurahsha, wamechoma hlo TANKER NA KITUO CHA MAFUTA!