Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 47,010
- 32,443
Wanabodi JF,
Baada ya Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Ludovick Utoh na zili za Kamati za Kudumu za Bunge kwa wizara zilizofanya ubadhirifu wa mali za umma, na kushinikizwa na wabunge kuachia ngazi.
Rais Kikwete karidhia kufanya mabadiliko makubwa ya baraza la mawaziri kulisuka upya, na kuwawajibisha watendaji wengine wakiwemo makatibu wakuu, wakurugenzi wa mashirika ya umma na wakuu wa idara mbali mbali za serikali waliotajwa katika ripoti ya(CAG ).
Hii ni heshima kwa serikali ya Kikwete kukubali kufanya mabadiliko ya baraza la mawaziri na kujipanga kuchagua mawaziri watendaji ambao watamjengea heshima Rais Kikwete.
Kwa mujibu wa habari zilizo rasmi wanaotakiwa kuachia nafasi zao ni George Mkuchika, Dr Haji Mponda, Ezekiel Maige, Prof Jumanne, Cyril Chami, Mustafa Mkullo, Wiliam Ngeleja, Omari Nundu, na Manaibu wao.
Baada ya Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Ludovick Utoh na zili za Kamati za Kudumu za Bunge kwa wizara zilizofanya ubadhirifu wa mali za umma, na kushinikizwa na wabunge kuachia ngazi.
Rais Kikwete karidhia kufanya mabadiliko makubwa ya baraza la mawaziri kulisuka upya, na kuwawajibisha watendaji wengine wakiwemo makatibu wakuu, wakurugenzi wa mashirika ya umma na wakuu wa idara mbali mbali za serikali waliotajwa katika ripoti ya(CAG ).
Hii ni heshima kwa serikali ya Kikwete kukubali kufanya mabadiliko ya baraza la mawaziri na kujipanga kuchagua mawaziri watendaji ambao watamjengea heshima Rais Kikwete.
Kwa mujibu wa habari zilizo rasmi wanaotakiwa kuachia nafasi zao ni George Mkuchika, Dr Haji Mponda, Ezekiel Maige, Prof Jumanne, Cyril Chami, Mustafa Mkullo, Wiliam Ngeleja, Omari Nundu, na Manaibu wao.