Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
Mkuu Invisible, heshima mbele. Hivi benki za hapa Bongo hazina utaratibu wa MORGAGE? Unless ithibitishwe kuwa kalipa CASH vinginevyo kuwa Waziri wa JK haina maana marufuku kumiliki property!
Mkuu kakelenda, sisi wazee na wazoefu wa siasa tunajiuliza hawa wanaoutafuata uwaziri kwa kasi hii wana lengo gani
--nimekuwa bungeni for three weeks hili la juzi na haya tumeyasikia sana pale,hii tuhuma imeanzia pale and we all know nani ana-engineer hizi issue for wrong reason..
Mkuu invisible ,Jitahidi kuwa na details kamili kuliko kujiingiza kwenye mkenge wa wana siasa..