M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
Hivi 'Uwaziri' ni DEAL?
unless i have missed your point.....lakini literally nadhani hii kitu ni DEAL. tena kubwa!
maana JK amekaririwa akisema endapo mawaziri hawatateuliwa kutoka miongoni mwa wabunge, basi kungekuwa na uwezekano wa baadhi ya watu kutogombea ubunge kabisa.