Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
Nitakuwa mchoyo wa fadhila kama sitatatoa pongezi zangu kwa invisible.
Nashukuru sana kwa taarifa hii,waliokuwa waikibeza uwezo wa jf watajisahihisha kupitia kwako.
Mapambano nikweli yanaendelea.Bado nasubiri uje na habari ya mlaji mkuu msaidizi na visima vyake alivyochimbiwa na serikali.
Nashukuru sana kwa taarifa hii,waliokuwa waikibeza uwezo wa jf watajisahihisha kupitia kwako.
Mapambano nikweli yanaendelea.Bado nasubiri uje na habari ya mlaji mkuu msaidizi na visima vyake alivyochimbiwa na serikali.